Ama kweli bongo mtu hulali njaa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Gari hili linalotajwa kuwa ni la kifahari na lenye thamani kubwa, likiwa limeegeshwa katikati ya barabara ya Sam Nujoma, Mwenge jijini Dar es Salaam likiwa tayari kwa ajili ya kukodishwa. Magari ya namna hii hivi sasa yamekuwa ‘dili’ jijini hapa na uchunguzi unaonesha asilimia kubwa huwa ni ‘famba’ (feki) kwani huwa yanaungwa ungwa hapahapa Bongo ili wamiliki waweze kuganga njaa.

</td></tr></tbody></table>
 
<table width="100%" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td align="left"><table width="100%" bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">
</td> <td width="139" align="right">photos</td> <td width="12" align="right">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Gari hili linalotajwa kuwa ni la kifahari na lenye thamani kubwa, likiwa limeegeshwa katikati ya barabara ya Sam Nujoma, Mwenge jijini Dar es Salaam likiwa tayari kwa ajili ya kukodishwa. Magari ya namna hii hivi sasa yamekuwa ‘dili’ jijini hapa na uchunguzi unaonesha asilimia kubwa huwa ni ‘famba’ (feki) kwani huwa yanaungwa ungwa hapahapa Bongo ili wamiliki waweze kuganga njaa.

</td></tr></tbody></table>

Kama huu ni iusemi wako mkuu tafadhali fafanua kidogo, feki kwa maana gani? kwa sababu yameungwa bongo? GMC kama kiwanda hawatengenezi limo ndefu kama hizi!...ukiiona barabarani hata marekani kwenyewe ujue imeungwaungwa mitaani! Sasa ufeki unaanzia wapi? au mpaka watengeneze wakina Riyan wa West Coat au Socal Customs ndiyo iwe ya Ukweli? Kama imeundwa bongo ni suala la kujisifu.
 
sema zana tu ndo tuko hoi wabongo lakini zingewepo za kutosha,mbona bongo mzuka vijana wametulia kwa kumodifai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom