Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Hebu fikiria:
Una rafiki yako mpendwa, mliyeshibana sana. Mmesoma darasa moja toka A-Level mpaka chuo kimoja. Bahati ikawanyookea mkapata kazi kampuni moja, kabla ya rafiki yako mwezi mmoja uliopita kupata kazi sehemu nyingine.
Na urafiki wenu huu ukapelekea na familia zenu kufahamiana na kuheshimiana sana.Mkawa mnashirikiana katika shida na raha.
Halafu ghafla asubuhi unapata simu ya rafiki yako. Kama kawaida unaipokea kwa utani lakini sauti ya rafiki yako kwenye simu si ya kawaida. Ana majonzi na sauti imekuwa nzito. Anakuuliza: umesikia ile ajali ya Same? unamwambia umeisikia. Then anamalizia kwa kusema: Ajali ile imemaliza familia yangu yote!
Ndicho kilichonifanya kuwa speechless kwa leo nisijue la kufanya. Nimechanganyikiwa nimsaidieje huyu rafiki yangu!
Please pray for his Dady, Sister, Brother and other 16 close relatives to Rest in Peace.
Una rafiki yako mpendwa, mliyeshibana sana. Mmesoma darasa moja toka A-Level mpaka chuo kimoja. Bahati ikawanyookea mkapata kazi kampuni moja, kabla ya rafiki yako mwezi mmoja uliopita kupata kazi sehemu nyingine.
Na urafiki wenu huu ukapelekea na familia zenu kufahamiana na kuheshimiana sana.Mkawa mnashirikiana katika shida na raha.
Halafu ghafla asubuhi unapata simu ya rafiki yako. Kama kawaida unaipokea kwa utani lakini sauti ya rafiki yako kwenye simu si ya kawaida. Ana majonzi na sauti imekuwa nzito. Anakuuliza: umesikia ile ajali ya Same? unamwambia umeisikia. Then anamalizia kwa kusema: Ajali ile imemaliza familia yangu yote!
Ndicho kilichonifanya kuwa speechless kwa leo nisijue la kufanya. Nimechanganyikiwa nimsaidieje huyu rafiki yangu!
Please pray for his Dady, Sister, Brother and other 16 close relatives to Rest in Peace.