Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
<br /><br />kumbe mwanamke? nilipo ona sabry nilizani boy? pole jitahidi usiwakubali hata mmoja,,
<br /><br />
Yaani mkuu unategemea hapa bongo boy atongozwe na wanawake watatu alete mada hapa? Si kuwalamba mara moja tu.maana akileta mada hapa watu watamzunguka mara moja na kuwapa haki yao.