Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,704
hujaamua kumhack wewe.
Mie nilishawahi mfuata huko kazini, nikatulia nje hadi muda wa kazi ulivyoisha, nikamhack hapo hapo.
Nikaanza na nampenda na kumkumbuka kwa busu hadaharani. Aliona aibu ila tulivyofika home he was so happy.
Kesho yake alinipeleka out.
Kuwa muwazi, mbona si dhambi jamani, mwanamme bila kukumbushwa waweza kuwa fanicha lol
Umenena mdada... Hahahahaaa..kwa tukio ulilofanya,lazima alikuwa mdogooo kwa surprize ya aina yake ..