nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Haijalishi kama sababu ya matatizo yako ni uzembe wako au bahati mbaya,
ninaloweza kusema ni pole sana bujibuji,
lililo muhimu kwako ni
kujifunze kupitia hizo changamoto zilizokufika
ni wachache sana wanaojifunza pasipo kupatwa na tatizo,
ila wengi wanajifunza kupitia makosa yao yaliyowatokea.
pole sana,simama,jipange upya tena kwa umakini zaidi ili maisha yaendelee.
ninaloweza kusema ni pole sana bujibuji,
lililo muhimu kwako ni
kujifunze kupitia hizo changamoto zilizokufika
ni wachache sana wanaojifunza pasipo kupatwa na tatizo,
ila wengi wanajifunza kupitia makosa yao yaliyowatokea.
pole sana,simama,jipange upya tena kwa umakini zaidi ili maisha yaendelee.