BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Mhhhh! Kongosho inaelekea jina lake spelling zake zimekaa kiaina aina haya we jitahidi kuzirudia rudia maana umma wa JF unasubiri kwa hamu tamko la Kongosho.
Last edited by a moderator:
Mhhhh! Kongosho inaelekea jina lake spelling zake zimekaa kiaina aina haya we jitahidi kuzirudia rudia maana umma wa JF unasubiri kwa hamu tamko la Kongosho.
Jina lenyewe lina kati ya herufi 3 hadi saba
lakini kuliandika nakosea lol
gosh, nimeshindwa hata kulala maana kuwa macho ni raha kuliko kuwa usingizini lol
Hahaa nina spare ya kikojoleo sina hofu kabisaUtamuweza kongosho wewe? Kama hajakutegua kikojoleo,mashine kubwa hiyo na kapitia unyago huyo,kama unabisha muulize zinduna.
hapo ndo kwenye 'brain' ya upendo wa wakubwa, au unaonaje?
Bado uko IN love au tayari uko OUT of love? Maana huelekewagi wewe. Jana baada ya kupiga mavaluu ukaanza kuweweseka oh i am love,u fall in love wewe umekuwa cleopatra?ha ha ha ha, bepari labda wewe lol
naona tu, miwivu imekujaa hadi makuchani.
Wee si ulikimbizwa Mchele Ltd.
Aspirin kamtema long time anasema konnie amezidi kusoma gazeti.Nilikuwa nakuharibia nikupatie Kongaspirin kamtema long time,anasema amezidi kusoma osho kumbe Kongosho mwenyewe kimeo
Ngoja niende zangu kwa akina dogodogo
Huyu anawafaa akina Asprin
Bamweleze kongosho,yaani yeye kupokea tu PM ya bishanga tayari aka declare i am in love na bishanga,angejua kuwa bishanga naye is in love arusha wala asingefungua uzi huu,acha tu nimshushue......alijisemea soulmate wangu, "infatuations" tu hizo. Kama uyoga siku za mvua...
..... akili bila kuiongoza..utajikuta inakwenda kama gari la tela...wampenda huyu kwa mguu wake, yule kwa tabasamu lake, mwingine kwa mwendo wake...
...mpaka baina ya kupenda na kutamani wategemea matakwa yako.
You are breaking my heart... :A S 12:Kweli? I doubt it.
Mkuu,kale ka style hukajui,kale ka 'ukimaliza funika kisha weka hela ya maziwa juu ya mesa'? Ndo zake konnie ndo mana kapigwa chini.Hahahaa anasoma wakati wa perrmance au muda gani?
Km hvyo Kongosho noma au ndo uzee umemzidi?
Inawezekana na Asprin nae kwishney
Threesome?You know what I mean, (blushing, blushing)
am so taken Mwali, so taken.
Usijali na wewe ntakuonjesha kwa kumwita patina wetu.
Inawezekana but mara nyingi hua inasababishwa na ukosefu wa vitu muhimu kwenye ndoa uliyopo! Kama kwenye ndoa hakuna mapenzi,hakuna kujaliwa wala kuheshimiwa ni rahisi sana kutekwa nje ya ndoa..