Am in love . . .

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,163
ila sijajua na nani
ila nasikia so much love inside
hasa nikipita maeneo fulani hivi

hadi kufika asubuhi nitakuwa tayari kutoa tamko lol

ni mke wa mtu alikuwa ananisimulia, nikabaki na maswali, hivi unaweza ukapenda wakati ushaolewa? Na ukapenda mtu mwingine zaidi ya mm wake?
 
BAK mbona kuna mahali umebold wakati mi nimewahi kuweka fensi?
Sitaki ugomvi...
 
Last edited by a moderator:
BAK, asante.
i wish it was me, ila hata mie kaniamabukiza raha tu.
 
Last edited by a moderator:
Yes, u may love another while you are married. Kwanza mi naona I might fall victiom to loving another yet am married. Kongosho love is a psychological need. Mapenzi kwenye ndoa yakipungua, kero zikizidi, the heart goes wandering and depending on how things turn out voila! You find yourself in love again.
Ur post made me happy. Sijui kwann.
 
usintie nuksi, nimpendaye ndo yuko busy analogin sasa.

Ila hajui kama hii ID yangu lol

hawa wazee nimewapeleka kambi ya Morogoro wakapumzike.

Sio Bishanga tu hata BAK noma...mi ndio mwenyewe au umezisahau swaga zangu nilizokupa kwa Asprin ?
be mine Kongosho nataka kulelewa achana na wazee
 
Last edited by a moderator:
asikutishe huyu Ricky, nani anataka watoto hawa akina Marioo?

Wakubwa wenzangu mpango mzima.

Hehehe usiwe na wasiwasi Mkuu we jidai tu :):)....Na kwa taarifa yako BAK si mzee :)

 
asante Karucee, mie mwenyewe najisia mwepesiiiiiii.

Yes, u may love another while you are married. Kwanza mi naona I might fall victiom to loving another yet am married. Kongosho love is a psychological need. Mapenzi kwenye ndoa yakipungua, kero zikizidi, the heart goes wandering and depending on how things turn out voila! You find yourself in love again.
Ur post made me happy. Sijui kwann.
 
Last edited by a moderator:
Mweeh! Best angalia asije aka-fall kwako! Hapa umejifunga mabomu
Mhhhhh! Congratulations!!!....Kupenda na kupendwa raha sana :):)...lakini yawe mapenzi ya kweli si ya kisanii.



I ain't much on Casanova

me and Romeo ain't never been friends.
Can't you see how much I really love you?
Gonna sing it to you time and time again.
Oh
Casanova
Casanova.

Every man deserves a good woman
and I want you to be my wife.
Time is so much better spent with you
baby

a woman just like you in my life.
So let me love you
fill you up inside

I want to hold you
baby

So let me squeeze you

don't you know that I'll get down on my knees for you
baby?

You see: I ain't much on Casanova

me and Romeo ain't never been friends. . . .
Oh
Casanova
Casanova.

Every time I want to see you

I can't find the words to tell you so.
I love
i love
I love
I love
I love you
baby

And I iust got to let you know how much I need you

Show you what you mean to me each day
baby.


So let me hold you
keeping you safe and warm

I'll be your sweetheart
baby.

And when I told you: Girl
I'm an average guy

You seem to know just how I really feel.
'Cause I can't let you go

I need and want you to stay right here with me.
Baby
I never knew love until you came along.

Oh
Casanova
tell me what to say
Casanova

I can't let you get away.
Oh
Casanova
tell me what to do
Casanova

I just wanna be with you.
listen
baby: I wanna hold
I wanna squeeze you
too

I wanna make sweet love to you

I wanna be there when you feeling low

Never let you go
no
Casanova.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom