PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
All my life nimekua very decent and sijawahi kucheat au kubadilisha couples kama nguo. Huko nyuma kuna rafiki mmoja wa kike nilimuangukia totally hadi hata pua ikagusa ardhi. For four years tulikuwa pamoja na nikadhani tutakuja oana kumbe mwenzangu alinichukulia as her best frend. Najua mtanishangaa but we did everythng except sx(i dont believe in sx b4 mariage) . After 4 years nkapigwa chini baada ya kutambulishwa kwa mchumbake. Aliharibu my confidence kabisa toka that year! mpaka leo hii hua naamini cpendeki! na nkaona as if ni magic mm kuwa na huyo mdada. I even spent 2years nikimbembeleza lakini wapi. Mpaka sasa huwa naamini hakuna mdada niliyewahi kumpenda kama huyo in my life.Mwishowe nikamove on. Juzi kanicall anataka tufanye mpango wa kuoana if ana nafasi tena. My every piece of self tells me to go to her ili nipone psychologicallly! But deep down I also hate her for what she did!
Please advice with awareness that I am morally tied down to my current fiance
Please advice with awareness that I am morally tied down to my current fiance