PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Juzi my fiancee kanifuata ofisini akaniaanza kunihubiria makosa yangu ya kuwa 'too close'
na one of my female frends(ambaye tulishakuwa na problem naye tena hapo nyuma), akanihukumu hukohuko
kwamba I am cheating.
Nikamuambia, nilidhani mtu anacheat anapo do nnje ya ndoa?
Akaniambia, hakuna, huko ni kuwa negative toward relationship! we kiri zambi zako nikusamehe
tuendelee na mambo mengineyo yaliyoko mbele yetu.
Basi mimi nikaungamishwa zambi zangu feki na kusamehewa(ili kuepusha shari nilifanya hivyo).
Lakini wakuu hebu nisaidieni mtu anaanza ku'cheat' akifanya nini?
na one of my female frends(ambaye tulishakuwa na problem naye tena hapo nyuma), akanihukumu hukohuko
kwamba I am cheating.
Nikamuambia, nilidhani mtu anacheat anapo do nnje ya ndoa?
Akaniambia, hakuna, huko ni kuwa negative toward relationship! we kiri zambi zako nikusamehe
tuendelee na mambo mengineyo yaliyoko mbele yetu.
Basi mimi nikaungamishwa zambi zangu feki na kusamehewa(ili kuepusha shari nilifanya hivyo).
Lakini wakuu hebu nisaidieni mtu anaanza ku'cheat' akifanya nini?