Join Date: Sun Jan 2008RIP waungwana.
lakini post ipo kwenye siasa, Mods rekebisha
Lilikuwa likienda wapi (kituo cha mwisho) maana naona route ni ndefu sana!!
Poleni waliopatwa na msiba.
Kaka hiyo ni fupi yapo yanayotoka Moshi, Arusha, Babati, Singida, Nzega - Mwanza/Kahama/Bukoba.
Hiyo ruti ni balaa muda wote hayo magari yapo faster kwa kwenda mbele na muda wote yamejaa na abiria wanasimama kifupi ni ruti yenye abiria wengi ila magari machache.
Na wapinzani wakubwa ni AM na Air Jordan.