/sawa mjeshi au ndio umekuja na mibomuWana JF hamjambo??? siku nyingi jamani, i missed my daily dose of JF.nilikuwa nimepotelea kule mikoani building the nation... but now am back!! not sure where to start but glad to be back.
aluta continua!!!
siku nne tu zimepita ushatoka fungate?!! we binti vipi?
huenda alikuwa ana bariki!
umenikumbusha mama mmoja wa watoto wanne alibariki ndoa yake hivi karibuni....
NILISHTUSHWA SANA NILIPOONA KUWA WAKINA MAMA WAKO BIZE WANAMUANDALIA KITCHEN PARTY
hahahaaa!!! Walikuwa wanapasha kiporo sio! heri yangu mm.........nangoja hadi bht akue kue kidogo, ndo nifikirie kula ndafu