Am back..nime wamiss sana sana

Shishi

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
1,242
39
Wana JF hamjambo??? siku nyingi jamani, i missed my daily dose of JF.nilikuwa nimepotelea kule mikoani building the nation... but now am back!! not sure where to start but glad to be back.

aluta continua!!!
 
Wana JF hamjambo??? siku nyingi jamani, i missed my daily dose of JF.nilikuwa nimepotelea kule mikoani building the nation... but now am back!! not sure where to start but glad to be back.

aluta continua!!!
/sawa mjeshi au ndio umekuja na mibomu
 
Shishi ndo unapotea kiivyo hata hutoi Contact detail ukiwa nje ya JF
karibu tena
 
Shishi hongera umejifungua au ndoa manake kuna thread kule started by Geoff:)
 
Welecome back my sweet darling.
Hongera kwa kujifungua salama.
Sasa utasikia raha ya kuitwa mama.
BTW ule mpango wetu bado uko palepale au ndo ushanichinjia baharini kwa kisu butu?
 
siku nne tu zimepita ushatoka fungate?!! we binti vipi?

huenda alikuwa ana bariki!
umenikumbusha mama mmoja wa watoto wanne alibariki ndoa yake hivi karibuni....
NILISHTUSHWA SANA NILIPOONA KUWA WAKINA MAMA WAKO BIZE WANAMUANDALIA KITCHEN PARTY
 
huenda alikuwa ana bariki!
umenikumbusha mama mmoja wa watoto wanne alibariki ndoa yake hivi karibuni....
NILISHTUSHWA SANA NILIPOONA KUWA WAKINA MAMA WAKO BIZE WANAMUANDALIA KITCHEN PARTY

hahahaaa!!! Walikuwa wanapasha kiporo sio! heri yangu mm.........nangoja hadi bht akue kue kidogo, ndo nifikirie kula ndafu
 
Back
Top Bottom