Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
mkuu,mim ni mdau wa cku nying humu,na vile vile ni senetor wa ukweli toka texas.
ata kama umefungiwa umekomesha ngebe zake..
mkuu,mim ni mdau wa cku nying humu,na vile vile ni senetor wa ukweli toka texas.
samahani kaka nilikuwa na kubeep tuuuuuu!!!!!!!!!!watu kama nyie ndio mnafanya hadi wenzenu tunachezea bann..toka lini me nkawa wa kike mkuu?
mambo mengne yanauz sana mkuu,huyo dogo ni mtu tunaejuana nae physically lakn cha kushangaza leo ananambia me ni bibie!