thanx much mr rocky.
Karibu jamvini tena mkuu
Usiwe na wasi wasi ban ni kama adhabu ya muda tuu
thanx much mr rocky.
Cna mengi ya kusema leo ncje nkapgwa ban nyingne,ila niwaambie tu aman ya bwana iwe pamoja nanyi!
watu kama nyie ndio mnafanya hadi wenzenu tunachezea bann..toka lini me nkawa wa kike mkuu?
karibu tena. tumepata member mpya kutoka america.
Wewe katoto vipi,wewe huko nchi gani?Njoo huku Benghazi nikupe
dada husninyo shikamoo.
kumbe kuna kuwekwa kifungoni dahh,basi ngoja niache kuuliza kilichokusibu mpaka ukapata red cardCna mengi ya kusema leo ncje nkapgwa ban nyingne,ila niwaambie tu aman ya bwana iwe pamoja nanyi!
mkuu,mim ni mdau wa cku nying humu,na vile vile ni senetor wa ukweli toka texas.
Nafanya jitihada za kukata Rufaa ya wewe kurudishwa tena Jukwaani, kifungo ulichopewa ni kidogo tofauti na kosa ulilolifanya. Invisibo itaku-Pm Rufaa ya huyu Kijana inabidi arudi ndani BAN mliompa ni ndogo mkilinganisha na Kosa.