Am addicted to paying sex.

Bubu Ataka Kusema. Mimi binafsi huwa ninafurahia sana unachoandika hata ku-forward hapa. Kuna wengi huwa hawapati hata gazeti wakasoma zile habari muhimu, wewe unajitolea bila hata kulipwa cent tano na unaleta hapa na tunafurahia. Wale ambao hawafurahii, basi walete za kwao. Hakuna mtu katika maisha hajafanya cut and paste!! Tena ingewezekana Mods wangetuwekea jukwaa la magazeti ili watu wapeleke huko tusome na kuchangia.

Heshimaaaaaaaaaaaaaaa ni kitu cha bure jamani. Hatred hazina maana. Heshimu kazi ya mwenzio ili na yako iheshimiwe.

Have a nice weekend JF dedicated members who hates ugomvi. Tuanzie upendo hapa ndipo tuweze kuusambaza kwa taifa la Tz.
 
Bubu Ataka Kusema tunakukubali na kufaidika sana na juhudi zako usivunjike moyo
 
will you two NYANI NA BUBU stop???????? you are the one now boring all of us tuko hapa kusaidiana hili na lile kwenye maisha ya kila siku sasa mmeshabadilisha topic imekuwa ni copy en paste badala ya addiction ya kulipia ngono hebu tumshauri mwenzetuuu asije akaangamia kwenye janga la dunia,
 
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.

Hivi bwana mdogo Uporoto01 hili tatizo ulilipatia ufumbuzi au bado unafunua funua tu.
 
Mjomba kama umeamua maisha hayo hakikisha unayaishi kikamilifu,usije ukaoa kabisa coz hautamtendea haki mkeo!!
 
I happen to have developed an addiction for paying sex.The sheer excitement of going into a bar and choosing a lady of my liking a plump,slim, tall,short,dark or light and after a few words maybe a drink or two we are in a room nearby doing our thing.The fact that there are no strings or feelings involved is part of the advantage.I have been hurt a few times in relationships and this easy way of relieving myself may block me from having a normal relationship with the opposite sex.About protecting myself i always use condoms and no kissing.

Uporoto bila shaka una laana na aliyekupa laana hiyo kishakufa. Kule kwetu tusingesema ulinikigune.
 
"Hii iliwahi kunitokea pale Breakpoint nilikuwa nimekaa na rafiki yangu tunapata konyagi ghafla akaja muhudumu na kutuletea mzinga . Tukamwambia mbona ya kwanza hatujamaliza na hatukuagiza ingine? akasema kaka nimeagizwa na dada yule aliekaa pale anaomba ukimaliza na rafiki yako ujumuike nae pale.Kuangalia dada mwenyewe simfahamu, nikaenda kumsikiliza akaniambia kaka samahani najua hunifahamu lakini naomba unipe kampani kila kitu juu yangu.Mezani kuna funguo za gari na simu 2 za bei mbaya na mwili mzima kachafuka dhahabu.Nikaogopa na kumwambia utanisamehe kuna sherehe tunaenda na rafiki yangu labda siku nyingine."

Hii comment nilitoa kwenye ile thread ya aliekua anatafuta demu kwa ajili ya weekend mwezi wa nane,nafurahi kuwajulisha huyu dada ndio girlfriend wangu sasa na tatizo la kununua sex halipo tena kanisahaulisha machungu yote ya mahusiano ya zamani.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.
 
endelea kula bata baba! kwanza hao wa kununua wako poa sana tuu na salama! ukimalizana naye humjui...no presha, uhuru wako unabaki nao, siku huna hela unakuwa karibu zaidi na sabuni, ila ukizoea sana mkuu hata ukijapata mke stimu haipandi hadi umlipe!!
Mkuu Kilambi kwani wanaume waliooa hawatumii 'sabuni'?
 
"Hii iliwahi kunitokea pale Breakpoint nilikuwa nimekaa na rafiki yangu tunapata konyagi ghafla akaja muhudumu na kutuletea mzinga . Tukamwambia mbona ya kwanza hatujamaliza na hatukuagiza ingine? akasema kaka nimeagizwa na dada yule aliekaa pale anaomba ukimaliza na rafiki yako ujumuike nae pale.Kuangalia dada mwenyewe simfahamu, nikaenda kumsikiliza akaniambia kaka samahani najua hunifahamu lakini naomba unipe kampani kila kitu juu yangu.Mezani kuna funguo za gari na simu 2 za bei mbaya na mwili mzima kachafuka dhahabu.Nikaogopa na kumwambia utanisamehe kuna sherehe tunaenda na rafiki yangu labda siku nyingine."

Hii comment nilitoa kwenye ile thread ya aliekua anatafuta demu kwa ajili ya weekend mwezi wa nane,nafurahi kuwajulisha huyu dada ndio girlfriend wangu sasa na tatizo la kununua sex halipo tena kanisahaulisha machungu yote ya mahusiano ya zamani.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.
Hongera kwa kupata suluhisho la tatizo, all the best.
 
"Hii iliwahi kunitokea pale Breakpoint nilikuwa nimekaa na rafiki yangu tunapata konyagi ghafla akaja muhudumu na kutuletea mzinga . Tukamwambia mbona ya kwanza hatujamaliza na hatukuagiza ingine? akasema kaka nimeagizwa na dada yule aliekaa pale anaomba ukimaliza na rafiki yako ujumuike nae pale.Kuangalia dada mwenyewe simfahamu, nikaenda kumsikiliza akaniambia kaka samahani najua hunifahamu lakini naomba unipe kampani kila kitu juu yangu.Mezani kuna funguo za gari na simu 2 za bei mbaya na mwili mzima kachafuka dhahabu.Nikaogopa na kumwambia utanisamehe kuna sherehe tunaenda na rafiki yangu labda siku nyingine."

Hii comment nilitoa kwenye ile thread ya aliekua anatafuta demu kwa ajili ya weekend mwezi wa nane,nafurahi kuwajulisha huyu dada ndio girlfriend wangu sasa na tatizo la kununua sex halipo tena kanisahaulisha machungu yote ya mahusiano ya zamani.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.

Mlipima lakini kabla ya kuanza mahusiano yenu na huyu dada?,maana kuna wengine wameingia kwenye mkenge kwa staili hii ya kukutana na akina mama wenye uwezo(waliochafuka kwa dhahabu,wenye magari mengi,wenye pesa za kumwaga) na baadae wanaambulia kuambukizwa ngoma.....Kuna rafiki yangu aliingia mkenge baada ya kupata zali kama hili lako,lakini alikaa na yule mama miezi 6 akafariki(yule mama) akamuachia yule mshikaji wangu MALI kibao na UKIMWI...Jamaa kwa sasa ni marehemu,hakuzifaidi hata hizo mali alizoachiwa,alichokifanya kipindi hicho baada ya kujigundua kaambukizwa ni kuanza kutembea hovyo na watoto wa kike(hasa wanafunzi),Siku jamaa alivyokufa ilikuwa mshikemshike maana aliacha orodha ya wanawake aliotembea nao wengi wakiwa wanafunzi wa Sekondari(Nakumbuka gazeti la Kasheshe enzi hizo lilitoa habari hizi),ilikuwa ni mshikemshike,watu walidata aisee
 
una invest kwenye ngono sio? mkubwa kwanza usitumie sana nguvu ya hela kwenye mapenzi,hicho ndio kitu kitakuangusha kila siku.be you unapotongoza mwanamke haina haja manjonjo mengi.watu wengi wenye tabia ya kununua ngono wana historia ya kuonga sana wanawake wakati wana tongoza.relationships ni kitu sensitive sana na hili kuweza kuishi na mtu na mkapendana mnaitaji mawasiliano physicaly and mentaly mpaka manajikuta mnaconnect automatic.sasa kitendo chako cha kutaka pesa ndio hiwe inakufanyia mawasiliano ndio inakuangusha kwenye relationship zako zilizopita. hayo ni wazo yangu kutokana na uchunguzi wangu.
mademu wa bar elfu 5 mpaka 20 huwezi kuishiwa wala nini; kama kujenga utajenga na kama gari utanunua...
 
mhhh, fanya mkapime halafu umuoe kabisa kama unampenda naye anakupenda ila angalia sana usijerudi kwa wale wa kununua kama ulivyozoea mwanzo
 
Mlipima lakini kabla ya kuanza mahusiano yenu na huyu dada?,maana kuna wengine wameingia kwenye mkenge kwa staili hii ya kukutana na akina mama wenye uwezo(waliochafuka kwa dhahabu,wenye magari mengi,wenye pesa za kumwaga) na baadae wanaambulia kuambukizwa ngoma.....Kuna rafiki yangu aliingia mkenge baada ya kupata zali kama hili lako,lakini alikaa na yule mama miezi 6 akafariki(yule mama) akamuachia yule mshikaji wangu MALI kibao na UKIMWI...Jamaa kwa sasa ni marehemu,hakuzifaidi hata hizo mali alizoachiwa,alichokifanya kipindi hicho baada ya kujigundua kaambukizwa ni kuanza kutembea hovyo na watoto wa kike(hasa wanafunzi),Siku jamaa alivyokufa ilikuwa mshikemshike maana aliacha orodha ya wanawake aliotembea nao wengi wakiwa wanafunzi wa Sekondari(Nakumbuka gazeti la Kasheshe enzi hizo lilitoa habari hizi),ilikuwa ni mshikemshike,watu walidata aisee

swali zuri sana sina nyongeza hapa
 
Mlipima lakini kabla ya kuanza mahusiano yenu na huyu dada?,maana kuna wengine wameingia kwenye mkenge kwa staili hii ya kukutana na akina mama wenye uwezo(waliochafuka kwa dhahabu,wenye magari mengi,wenye pesa za kumwaga) na baadae wanaambulia kuambukizwa ngoma.....Kuna rafiki yangu aliingia mkenge baada ya kupata zali kama hili lako,lakini alikaa na yule mama miezi 6 akafariki(yule mama) akamuachia yule mshikaji wangu MALI kibao na UKIMWI...Jamaa kwa sasa ni marehemu,hakuzifaidi hata hizo mali alizoachiwa,alichokifanya kipindi hicho baada ya kujigundua kaambukizwa ni kuanza kutembea hovyo na watoto wa kike(hasa wanafunzi),Siku jamaa alivyokufa ilikuwa mshikemshike maana aliacha orodha ya wanawake aliotembea nao wengi wakiwa wanafunzi wa Sekondari(Nakumbuka gazeti la Kasheshe enzi hizo lilitoa habari hizi),ilikuwa ni mshikemshike,watu walidata aisee

Asante kwa kunijali,ndio tulipima,alikuwa anahitaji sana mtoto na ana mimba ya mwezi mmoja sasa.
 
banaeee! kuna miwatu imeoa au ina-relationship lakini inanunua vile vile..sinadhani kama ni addiction, utakuwa unapumzika kidogo kabla hujaanza mikasheshe ya kuwa kwenye relationship.......Lakini angalia usije ukawa unaenda kununua ukiudhiwa ndani ya relationship.
 
Back
Top Bottom