Nisiwe na usongo na wewe nichekwe? Haya hebu niambie ID yako ya zamani ni ipi na kwanini umeamua kunzisha ID mpya? Kuku mgeni hata kamba miguuni huna?
Mkuu umeona eh? Stuka! Mwambie na mzee wa mapokezi Katavi astuke.... Huu mwandiko nshaustukia zamaaaani. Hata my wife material cacico akija hapa atawathibitishieni.Hii itakuwa ID ya pili au zaidi maanq mbwembwe hizi za virgin ni kubwa sana kwa mgeni kabisa, hata hivyo karibu ukaguliwe na utepe ukatike.
Nisiwe na usongo na wewe nichekwe? Haya hebu niambie ID yako ya zamani ni ipi na kwanini umeamua kunzisha ID mpya? Kuku mgeni hata kamba miguuni huna?
Hii itakuwa ID ya pili au zaidi maanq mbwembwe hizi za virgin ni kubwa sana kwa mgeni kabisa, hata hivyo karibu ukaguliwe na utepe ukatike.
Jamani kumbe kuna wakaguzi huku Jf?
Kule Fb hamnaga hayo makitu.
Haya ntamtafuta anikague.
Au unataka uanze wewe?
Nisiwe na usongo na wewe nichekwe? Haya hebu niambie ID yako ya zamani ni ipi na kwanini umeamua kunzisha ID mpya? Kuku mgeni hata kamba miguuni huna?
Ndani mpaka chumbani au ntaishia sebleni?
Karibu Virgin Girl oi Kumbe mimi ndie Wa Kwanza kukukaribisha !
Me mgeni,nipokeeni.