Kabota
Member
- Aug 15, 2009
- 63
- 10
Wakati mashindano ya Tusker Project Fame yakiendelea jijini Nairobi, Kenya, mshindi wa msimu wa tatu wa mashindano hayo Alpha Rwirangira kutoka nchini Rwanda, jana ameandika barua ndefu kuwashutumu wadhamini wa mashindano ya vipaji vya kuimba East Africa Breweries Limited, EABL. Kusoma barua hiyo click hapa:
DAILY ENTERTAINMENT TAKE AWAY: Exclusive: Alpha aandika barua kali kuishutumu TPF, isome yote hapa
DAILY ENTERTAINMENT TAKE AWAY: Exclusive: Alpha aandika barua kali kuishutumu TPF, isome yote hapa