Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Kuna wabunge wachace sana CCM ambao hawataki non sense bungeni kama huyu mbunge wa Nkasi Kaskazini.
Ameongea juu kutowajibika kwa serilali. Mengine ni pamoja na tabia ya wabunge kuisifia serikali, majigambo ya wabunge, wabunge kupitisha hoja muhimu kwa ushabiki etc
Ameongea juu kutowajibika kwa serilali. Mengine ni pamoja na tabia ya wabunge kuisifia serikali, majigambo ya wabunge, wabunge kupitisha hoja muhimu kwa ushabiki etc