Ally Keissy Mohamed Nkasi Kaskazini CCM Mbunge asiyetaka Non sense

Mo-TOWN

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,721
515
Kuna wabunge wachace sana CCM ambao hawataki non sense bungeni kama huyu mbunge wa Nkasi Kaskazini.

Ameongea juu kutowajibika kwa serilali. Mengine ni pamoja na tabia ya wabunge kuisifia serikali, majigambo ya wabunge, wabunge kupitisha hoja muhimu kwa ushabiki etc
 
Kuna wabunge wachace sana CCM ambao hawataki non sense bungeni kama huyu mbunge wa Nkasi Kaskazini.

Ameongea juu kutowajibika kwa serilali. Mengine ni pamoja na tabia ya wabunge kuisifia serikali, majigambo ya wabunge, wabunge kupitisha hoja muhimu kwa ushabiki etc
sIJAMSIKIA MKUU SASA HAPA NDO TUNASEMA TAIFA KWANZA KAMA HAJUI NEPI!!
 
Kuna wabunge wa CCM wengi hawaridhishwi na mwenendo wa serikali ya JK lakini wanaponzwa na siasa za makundi. Wako utumwani jamani! Hawako huru kueleza kile wanachokiamini.
 
Back
Top Bottom