The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
karibu kila neno tunalotumia siku hizi
linamaanisha pia sex
wakati mwingine huwa najiuliza kwa nini??????
au labda jamii inawaza sana sex??????
kula.........analiwa,anamla
kupita.......amempitia,amepitiwa
kulamba......amelambwa,anawalamba
kukanyaga.....anamkanyaga,
kutafuna...........anamtafuna
kutembea...........anatembea nae
kupakua...............anampakua,anapakuliwa
kutia.....................anamtia...
kubonyeza..........anambonyeza
kukandamiza...........anakandamizwa
kuonja.................amemuonja
kubandua.............anambandua
kukuna.............anamkuna
kuchezea..............anamchezea
kuchapa..............anamchapa
kucharazwa..........anamcharaza
kwangua...............anamkwangua
kusugua...............anamsugua
kugonga...............anamgonga
swali langu hapa je hii ni normal kwa kila neno la kawaida
kuhusishwa na sex au ni sisi wanajamii ndio tumesababisha,
pili je ni maneno yapi sio ok kuyatumia?i mean hayapo decent?
nimewahi kuwasikia wanawake wenye heshima zao
wakitumia neno kupakuwa na kupakuliwa nikabaki mdomo wazi.
linamaanisha pia sex
wakati mwingine huwa najiuliza kwa nini??????
au labda jamii inawaza sana sex??????
kula.........analiwa,anamla
kupita.......amempitia,amepitiwa
kulamba......amelambwa,anawalamba
kukanyaga.....anamkanyaga,
kutafuna...........anamtafuna
kutembea...........anatembea nae
kupakua...............anampakua,anapakuliwa
kutia.....................anamtia...
kubonyeza..........anambonyeza
kukandamiza...........anakandamizwa
kuonja.................amemuonja
kubandua.............anambandua
kukuna.............anamkuna
kuchezea..............anamchezea
kuchapa..............anamchapa
kucharazwa..........anamcharaza
kwangua...............anamkwangua
kusugua...............anamsugua
kugonga...............anamgonga
swali langu hapa je hii ni normal kwa kila neno la kawaida
kuhusishwa na sex au ni sisi wanajamii ndio tumesababisha,
pili je ni maneno yapi sio ok kuyatumia?i mean hayapo decent?
nimewahi kuwasikia wanawake wenye heshima zao
wakitumia neno kupakuwa na kupakuliwa nikabaki mdomo wazi.