TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Hapa tunajadili general issues bana..haimaanishi tunaweka mambo yetu binafsi....
Having said that - nadhani unavyosema huenda kuna ukweli..na nadhani kwa kujadili wazi hapa itasaidia wale wote wenye matatizo haya na kujaribu kurekebisha.Au siyo MTM?
Actually i was also talking about general issues, sikumlenga anyone specific!! yaani performance za mama na za baba zooote zimeyumba kwa sasa sijui ni pressure za maisha au too much information kiasi kwamba inaua ile hamu na hanjam ya mwenzako, there is too much information about relationships siku hizi hasa zinazohusu sexual matter
Unajua hata haya ya wanaume kuhangaika kama ume-note yamesababisha akina dada nao kwa kiasi fulani kuchanja mbuga and they use maneno kama muosha huoshwa, kula uliwe, mla cha mwenziwe lazma na chake kiliwe!!
Kwa kusaidia akina baba, nashauri akina mama mtukatalie kabisa japo kwa mwezi mmoja tuone itakuwaje