VC, i always admire you stand! but sometimes i think you go overboard my friend...
Ulivyoiweka ni kama all men are like that... Kuna mwanaume amewahi kukutibua sana nini??[/QUOTE]
NAH MY FRIEND-
MY PREMISE ALWAYS STARTSWITH THE GENERAL BEFORE NARROWING DOWN TO THE SPECIFICS....
Endelea kunisoma utaona sijawalenga wanaume wote.There are men and men- I have a lot of respect for men by the way.Im just highlighting on some practical social problems wala sijaguswa kiasi hicho binafsi.
By the way thread title inaweza kuwa kidogo sensational for obvious reasons LOL!
Unatutafuta utatupata sasa hivi!
Ishia kwenye kutamani tu ndugu yangu!
Thanks Chaku! Na kama ulisoma nilianza kwa kusema unatutafuta! sio wanaume waote wako hivyo wengine wametulia wanapenda familia zao, furaha ya mtu wendawazimu wake, so not all men bears the same xcter.
Huyu dada labda anajiweka mazingira ya kujiachia na kutega watu na anapata hao ma gonga gonga then anakimblia huku kuleta hasty generalisation.
VC, i always admire you stand! but sometimes i think you go overboard my friend...
Ulivyoiweka ni kama all men are like that... Kuna mwanaume amewahi kukutibua sana nini??[/QUOTE]
NAH MY FRIEND-
MY PREMISE ALWAYS STARTSWITH THE GENERAL BEFORE NARROWING DOWN TO THE SPECIFICS....
Endelea kunisoma utaona sijawalenga wanaume wote.There are men and men- I have a lot of respect to men by the way.Im just highlighting on some practical social problems wala sijaguswa kiasi hicho binafsi.
By the way thread title inaweza kuwa kidogo sensational for obvious reasons LOL!
Sawa WoS; I am waiting!!!
Ndugu yangu Chaku.... hauko mbali saaaana na ukweli wa hali halisi....mimi nazungumzia zaidi ule ukaribu - yaani kwanini usiende kutongoza mbali? Tanzania ina population ya karibu watu milioni 37- ambapo zaidi ya 51% ni wanawake - humo humo kwenye 37m, vijana ni zaidi ya 60% .Assuming kuwa katika idadi ya watu wazima walio na umri wa kutongozwa zaidi ya 60% ni wanawake, hao wa karibu ki ivo kwako ni asilimia ngapi? I bet my last cent haitafika hata 1%.Kwanini ung'ang'ane na idadi hii ilhali ungeweza kujitafutia kwingine kama basi unataka kujinafasi? - why ur daughter, househelp, sister in law, mother in law?Hii inaleta fedha sana kwa familia zetu!
Nimeona mabinti wakimtania mwenzao " niite mamako mdogo" - kisa baba kibosile "Mkuu wa Taasis moja nyeti nchini -jina kapuni) anawatokea hao watoto wadogo wanafunzi!
Hii tabia ni mbaya sana kwa kweli na inarudisha nyuma maendeleo kama tukiitathmini kwa undani zaidi.Maadili yanazidi kuharibika, hakuna heshima ngazi zote kuanzia familia jamii hadi taifa!
Its not just about untamed lust believe u me!
Thanks Chaku! Na kama ulisoma nilianza kwa kusema unatutafuta! sio wanaume waote wako hivyo wengine wametulia wanapenda familia zao, furaha ya mtu wendawazimu wake, so not all men bears the same xcter.
Huyu dada labda anajiweka mazingira ya kujiachia na kutega watu na anapata hao ma gonga gonga then anakimblia huku kuleta hasty generalisation.
Zero grazing. kama kuna majani nje ya nyumba yako na yanalika sasa ufanyeje? kama walio karibu wanakataa, hali ingekuwa tofauti.
Zero grazing. kama kuna majani nje ya nyumba yako na yanalika sasa ufanyeje? kama walio karibu wanakataa, hali ingekuwa tofauti.
Na mwenye kutaka kila akionacho kisimpite anakuwa mkali kama mbogo kwa kile chake!hawa wanaume waongo bwana kila mala wanadai ooh sisi wanaume tuna udhaifu mala eeh yaani huwa siwaelewi kabisa ..kila wakionacho wanataka kiwe chao ...lol
ngoja tu Chrispin atie timu huku, kazi itakuwepo hapa leo. mi nangojea tu
Engage your brains before you engage your mouth or fingers on the keyboard plss!!
Hapa hatuko kutukanana - wala kuchukulia issues personal! Wewe kama hujafurahishwa na mada hulazimiki kuisoma wala kuchangia na siyo ustaarabu kunivamia mimi personally maana u know nothing about me.
Ustaarabu ni tunu na karama ya bure hata kama huonekani.
hawa wanaume waongo bwana kila mala wanadai ooh sisi wanaume tuna udhaifu mala eeh yaani huwa siwaelewi kabisa ..kila wakionacho wanataka kiwe chao ...lol
Engage your brains before you engage your mouth or fingers on the keyboard plss!!
Hapa hatuko kutukanana - wala kuchukulia issues personal! Wewe kama hujafurahishwa na mada hulazimiki kuisoma wala kuchangia na siyo ustaarabu kunivamia mimi personally maana u know nothing about me.
Ustaarabu ni tunu na karama ya bure hata kama huonekani.
Hivi katika kuomba naniliu na kupewa, yupi mdhaifu: yule anayeomba au yule anayetoa au wote?