Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
Ha ha haaaaaaaa! Sasa kama maujuzi yalikuaga balaa kwanini uliachia ngazi?
I am always a Killer,
Hit (Eat) and Run.
Hua siweki kambi, may be kwako MwaJ.
Ha ha haaaaaaaa! Sasa kama maujuzi yalikuaga balaa kwanini uliachia ngazi?
Hilo nalo neno Madame B!!Nakataa Shark,
Ina maana Kaka hawezi kutafuta through Jukwaa la Siasa au Mk?
Anaweza ampate humu MMU lakini asiwe mzoefu,
maana wengi twapita kila mahala ku-Comment na mbaya zaidi twatumia Fake ID,Fake Avatar na mbaya kuliko zote waweza kujikuta unam-PM He mwenzio ukijua ni She ukajikuta umelamba Garasa!!!
Kwani wewe unaongeaga na wanaume wangapi? Hii ngoma ingine mamito, nitakurudisha kijijini ukiwa jembe la mkono kama sio ng'ombe ya kulimia. Wewe endelea tu!
Hilo nalo neno Madame B!!
Ila relations zinahusika hapa MMU zaid kuliko popote.
Kule kwengine anaweza kuwapata wanasiasa wakaishia kupigana siasa tu.
Divorced...
pole kiongozi,eti superman ame-like post yako hii khaaaa!kweli miafrika ndivyo tulivyo
Pole ya nini sasa?
Mtawa.....
bado hujajibu swali wewe,,,,mtawa single au mtawa mchakachuzi?