Dah, huyu muuzai balaa; ana hasira vibaya na wateja wake wakati huo hawezi kumarkate bidhaa zake! Ameshindwa kuweka aina ya simu alizonazo, picha, bei nk anataka kupigiwa simu kama vile yeye ndy ajenti pekee wa bb hapa bongo=KIMEO!:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
Kama Picha imekushinda si ungeweka tu hata jina na bei ili kupunguza maswali?
Afu Huduma kwa mteja mbovu hapo hata hajanunua, je itakuwaje "Aftersale services"?
huyu si ndo dogo anayeuza lamborghin bilioni 1.9... Kuanzia leo jaman msifuatilie post za huyu mtoto.. nahisi bado ana akili za kitoto.. mara anataka kujua bei ya LUXURY hotel huko mbezi wakati ndo anapoishi.. mara anauza blackberry.. yaani we ukimuuzia blackberry na ye anakuja kutangaza humu ndani.. tena kwa machejo kweli kweli wakati ameuziwa humu humu.. Tafadhari we mtotot hmu ni ma"great thinkers tuuu.. sio great sinkers.. hamia kwenu FACEBOOK kwa watoto wenzio.. japo na penyewe wapo watu a akili zao..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.