mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Hakuna asiyejua yaliyompata mpigania haki Dr Ulimboka, japo serikali inajitahidi kukana kuhusika na utekaji na mateso aliyotendewa Dr. Ulimboka lakina kunaviashilia vingi vinavyoonyesha uhusika wa serikali ktk hili. Vyovyote vile ilivyo je kumfanyia hivyo Ulimboka ndiyo kutaleta ufumbuzi wa migomo ya madaktari au kutazidisha uadui kati yao hawa wawili. Kama serikali itaonekana kuhusika kwa njia moja au nyingine wananchi wataendelea kuwa na imani na serikali yao?