Aliyewahi kuutesa moyo wangu ananitaka

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Kuna dada mmoja nilitokea kumzimia sana miaka ya nyuma lakini pamoja na kumuimbisha nyimbo zote zikiwemo maarufu kama "akanana" hakuelewa somo. Aliamini kwamba alikuwepo mwingine ambaye yeye alimpenda kwa dhati bila kuwa muwazi kama kweli alikuwepo au ilikuwa imani yake tu. Nilimsumbua sana. Kwa kweli aliupeleka puta moyo wangu mpaka nikakosa raha ya maisha kabisaaa! Ililnichukua muda kumfuta kabisa akilini mwangu alipoondoka kwenda nje na wazazi wake.

Huyo dada karejea nchini na jana kanipigia simu tukutane kwenye mgahawa mmoja jijini. Nilipomuuliza namba yangu kaipataje alisema cha muhimu ni kwamba namba yangu anayo, suala la ameipataje halina umuhimu wowote kwa sasa.

Niliamua kuitika wito. Kwa kweli dada huyo kapendeza sana kuliko hata alivyokuwa wakati ule namlilia. Tulikaa nae takriban masaa matatu na kwa kweli tuliongea mambo mengi sana. Kwa ufupi alinieleza kwamba ametambua kwamba nilikuwa na mapenzi ya kweli kwake na sasa yuko tayari kuwa na mimi. Isingekuwa nimeshaoa ningemkubalia mara moja! Pamoja na kumueleza kuwa sasa nina familia alisisitiza kwamba awe hata girl friend wangu.

Huyu dada ana nia gani na mimi kama si kunivunjia ndoa? Ni kweli nilimpenda sana lakini kwa sasa ninae wangu mwandani.
 
Kuna dada mmoja nilitokea kumzimia sana miaka ya nyuma lakini pamoja na kumuimbisha nyimbo zote zikiwemo maarufu kama "akanana" hakuelewa somo. Aliamini kwamba alikuwepo mwingine ambaye yeye alimpenda kwa dhati bila kuwa muwazi kama kweli alikuwepo au ilikuwa imani yake tu. Nilimsumbua sana. Kwa kweli aliupeleka puta moyo wangu mpaka nikakosa raha ya maisha kabisaaa! Ililnichukua muda kumfuta kabisa akilini mwangu alipoondoka kwenda nje na wazazi wake.

Huyo dada karejea nchini na jana kanipigia simu tukutane kwenye mgahawa mmoja jijini. Nilipomuuliza namba yangu kaipataje alisema cha muhimu ni kwamba namba yangu anayo, suala la ameipataje halina umuhimu wowote kwa sasa.

Niliamua kuitika wito. Kwa kweli dada huyo kapendeza sana kuliko hata alivyokuwa wakati ule namlilia. Tulikaa nae takriban masaa matatu na kwa kweli tuliongea mambo mengi sana. Kwa ufupi alinieleza kwamba ametambua kwamba nilikuwa na mapenzi ya kweli kwake na sasa yuko tayari kuwa na mimi. Isingekuwa nimeshaoa ningemkubalia mara moja! Pamoja na kumueleza kuwa sasa nina familia alisisitiza kwamba awe hata girl friend wangu.

Huyu dada ana nia gani na mimi kama si kunivunjia ndoa? Ni kweli nilimpenda sana lakini kwa sasa ninae wangu mwandani.

...hehehehe,...duuhh.
achana nae bana. Mawasiliano yenyewe mmeyafufua jana tu!
 
achana nae si ulimpata wako wa moyo? alichezea nafasi yake
 
Kuna dada mmoja nilitokea kumzimia sana miaka ya nyuma lakini pamoja na kumuimbisha nyimbo zote zikiwemo maarufu kama "akanana" hakuelewa somo. Aliamini kwamba alikuwepo mwingine ambaye yeye alimpenda kwa dhati bila kuwa muwazi kama kweli alikuwepo au ilikuwa imani yake tu. Nilimsumbua sana. Kwa kweli aliupeleka puta moyo wangu mpaka nikakosa raha ya maisha kabisaaa! Ililnichukua muda kumfuta kabisa akilini mwangu alipoondoka kwenda nje na wazazi wake.

Huyo dada karejea nchini na jana kanipigia simu tukutane kwenye mgahawa mmoja jijini. Nilipomuuliza namba yangu kaipataje alisema cha muhimu ni kwamba namba yangu anayo, suala la ameipataje halina umuhimu wowote kwa sasa.

Niliamua kuitika wito. Kwa kweli dada huyo kapendeza sana kuliko hata alivyokuwa wakati ule namlilia. Tulikaa nae takriban masaa matatu na kwa kweli tuliongea mambo mengi sana. Kwa ufupi alinieleza kwamba ametambua kwamba nilikuwa na mapenzi ya kweli kwake na sasa yuko tayari kuwa na mimi. Isingekuwa nimeshaoa ningemkubalia mara moja! Pamoja na kumueleza kuwa sasa nina familia alisisitiza kwamba awe hata girl friend wangu.

Huyu dada ana nia gani na mimi kama si kunivunjia ndoa? Ni kweli nilimpenda sana lakini kwa sasa ninae wangu mwandani.

Wewe una msimamo gani? na huyu mke ulioko naye ulimwoa kwa vile huyo mmbeba box alikuacha au na yeye ulimpenda kama ulivyompenda ze europa woman?
 
Ashakhum si matusi...mwepuke,kuwa tayari kuwekwa vikao kusuluhisha matatzo utakayoyasababisha au... kubali mkeo amegwe siku akikujua unakifanya na huyo haramia!!
 
usijaribu, usijaribu.....amekosa kote huk anataka kujishikisha kwako, baadhi ya wanawake wanapenda kujipotezea muda kweli, mie nilivyo na wivu nikae na mtu nusu saa aniambie namuwahi mke wangu cjui kama ningeweza huo ulimwengu, ucmkubali...yaani sasa hivi ndio anakuona wa maana japo umeoa?
 
usijitumbukize huko mzee. kazurura huko na hatimaye kakuona tena? ila cha msingi mwisho wa siku ni nyie wawili mnaojuana vyema. hata mi nina mazingira kama hayo. binti huwa tunaonana hasa kwenye matukio kama sherehe. mambo yake si mabaya hata kidogo, ila huyu humtumia mdogo wangu kiaina kurekebisha mambo. ila cha msingi ndugu ni kusonga mbele maana wanawake wana siri zao
 
achana nae si ulimpata wako wa moyo? alichezea nafasi yake

mtu akipoteza kitu ndio anajua dhamani yake..last week nilikuwa nawapeleka watoto moshi, tukacmama changbay kupata supu, nikakutana na lile langu lililoniachaga, akaangalia mazingira akajua nipo mwenyewe na watoto, akaanza oohh haaa eti nimpe dk 5 za maongezi...mxsiii ovyo kabisa....mtu hutakiwi kurudi nyuma mana hujui umeepushiwa nini.
 
Kuna dada mmoja nilitokea kumzimia sana miaka ya nyuma lakini pamoja na kumuimbisha nyimbo zote zikiwemo maarufu kama "akanana" hakuelewa somo. Aliamini kwamba alikuwepo mwingine ambaye yeye alimpenda kwa dhati bila kuwa muwazi kama kweli alikuwepo au ilikuwa imani yake tu. Nilimsumbua sana. Kwa kweli aliupeleka puta moyo wangu mpaka nikakosa raha ya maisha kabisaaa! Ililnichukua muda kumfuta kabisa akilini mwangu alipoondoka kwenda nje na wazazi wake.

Huyo dada karejea nchini na jana kanipigia simu tukutane kwenye mgahawa mmoja jijini. Nilipomuuliza namba yangu kaipataje alisema cha muhimu ni kwamba namba yangu anayo, suala la ameipataje halina umuhimu wowote kwa sasa.

Niliamua kuitika wito. Kwa kweli dada huyo kapendeza sana kuliko hata alivyokuwa wakati ule namlilia. Tulikaa nae takriban masaa matatu na kwa kweli tuliongea mambo mengi sana. Kwa ufupi alinieleza kwamba ametambua kwamba nilikuwa na mapenzi ya kweli kwake na sasa yuko tayari kuwa na mimi. Isingekuwa nimeshaoa ningemkubalia mara moja! Pamoja na kumueleza kuwa sasa nina familia alisisitiza kwamba awe hata girl friend wangu.

Huyu dada ana nia gani na mimi kama si kunivunjia ndoa? Ni kweli nilimpenda sana lakini kwa sasa ninae wangu mwandani.

Fikiria mkeo&familia yako halafu jiulize mchezo wa siku moja au kadhaa na huyo binti itakuongezea nini maishani mwako..Kama ni mdhaifu utaingia kwenye 18 zake.. Yani mie mtu aliyenitesa simpi nafasi tena nikiwa committed asahau ilhali sitaruhusu mazingira ya kumpa nafasi!

Kumbuka "woman's heart is a deep sea of secrets" nimeona hii signature kwa mwanaJF mmoja!..mie ni mwanamke na naelewa tulivyo!!
 
Kwa kifupi huyo dada amejawa na ujinga na anaamini kukukataa wewe imekuwa mkosi kwake na kama bado anaendelea kuitwa MISS wakati kwa umri wake anatakiwa kuwa MRS atafanya juu chini na wewe umrudie hata kwa kuvunja ndoa yako. Wachanga huwa sana na imani hizo ndio maana binti kutoa jibu sikutaki si rahisi ila atakusumbua mpaka ukate tamaa
 
mtu akipoteza kitu ndio anajua dhamani yake..last week nilikuwa nawapeleka watoto moshi, tukacmama changbay kupata supu, nikakutana na lile langu lililoniachaga, akaangalia mazingira akajua nipo mwenyewe na watoto, akaanza oohh haaa eti nimpe dk 5 za maongezi...mxsiii ovyo kabisa....mtu hutakiwi kurudi nyuma mana hujui umeepushiwa nini.

..hehehehe...'lile' as if lishakuwa lidubwana fulani!
Ungempa tu dakika tano za 'kuungama'
au unauruka kwa makusudi tu huu msitari;
"sameheni kila mtu aliyewakosea ili Baba yenu wa mbinguni apate kuwasamehe ninyi makosa yenu"
Namsifu mtoa mada, mheshimiwa balozi hapa ambaye alitoa masaa matatu 'ya mkewe' kumsikiliza aliyemkosea.
 
mtu akipoteza kitu ndio anajua dhamani yake..last week nilikuwa nawapeleka watoto moshi, tukacmama changbay kupata supu, nikakutana na lile langu lililoniachaga, akaangalia mazingira akajua nipo mwenyewe na watoto, akaanza oohh haaa eti nimpe dk 5 za maongezi...mxsiii ovyo kabisa....mtu hutakiwi kurudi nyuma mana hujui umeepushiwa nini.

afu dearest huyo wako wa zamani kuna analokutafutaga huyo........khaaa!!
 
Fikiria mkeo&familia yako halafu jiulize mchezo wa siku moja au kadhaa na huyo binti itakuongezea nini maishani mwako..Kama ni mdhaifu utaingia kwenye 18 zake.. Yani mie mtu aliyenitesa simpi nafasi tena nikiwa committed asahau ilhali sitaruhusu mazingira ya kumpa nafasi!

Kumbuka "woman's heart is a deep sea of secrets" nimeona hii signature kwa mwanaJF mmoja!..mie ni mwanamke na naelewa tulivyo!!

halafu unaonekana huna mcmamo wa maisha yako, yaani upo upo tu hujitambui...haipendezi hata kidogo.
 
mtu akipoteza kitu ndio anajua dhamani yake..last week nilikuwa nawapeleka watoto moshi, tukacmama changbay kupata supu, nikakutana na lile langu lililoniachaga, akaangalia mazingira akajua nipo mwenyewe na watoto, akaanza oohh haaa eti nimpe dk 5 za maongezi...mxsiii ovyo kabisa....mtu hutakiwi kurudi nyuma mana hujui umeepushiwa nini.

afu dearest huyo wako wa zamani kuna analokutafutaga huyo........khaaa!!
 
afu dearest huyo wako wa zamani kuna analokutafutaga huyo........khaaa!!

duuuh, wewe mshabiki kweli aisee...ha ha ha ahaaa!
Mheshimiwa bado anakumbukia jamani, Nyamayao mpe nafasi bana 'ajielezee'...


Ambassador, pamoja na kwamba 'kanona' usikutoke udenda bana, bomu la kutega hilo!
 
Fikiria mkeo&familia yako halafu jiulize mchezo wa siku moja au kadhaa na huyo binti itakuongezea nini maishani mwako..Kama ni mdhaifu utaingia kwenye 18 zake.. Yani mie mtu aliyenitesa simpi nafasi tena nikiwa committed asahau ilhali sitaruhusu mazingira ya kumpa nafasi!

Kumbuka "woman's heart is a deep sea of secrets" nimeona hii signature kwa mwanaJF mmoja!..mie ni mwanamke na naelewa tulivyo!!

Belly mi hata kama sijawa committed simtaki kabisa......aliye damage moyo wangu to the extent that vipande vimekuwa vigumu kuunga, asidiriki hata kuniaota
 
afu dearest huyo wako wa zamani kuna analokutafutaga huyo........khaaa!!


ana jipya bac? yote yale yale ya zamani, ohh ulikuwa ni bahati yangu sema bac tu shetani alinipitia..yaani hana jipya kabisa,...nadhani umeshafika pale, binti yangu(mtoto wa mr) kaenda kununua maji counter akakutana nae huko, kamhoji mpo na dady pia?..mtoto akamjibu hapana...katoka nae nje kamshika mkono...nilichukia na supu ckuimaliza tukajiondokea....yaani imekuwa kero kabisa.
 
Kuna dada mmoja nilitokea kumzimia sana miaka ya nyuma lakini pamoja na kumuimbisha nyimbo zote zikiwemo maarufu kama "akanana" hakuelewa somo. Aliamini kwamba alikuwepo mwingine ambaye yeye alimpenda kwa dhati bila kuwa muwazi kama kweli alikuwepo au ilikuwa imani yake tu. Nilimsumbua sana. Kwa kweli aliupeleka puta moyo wangu mpaka nikakosa raha ya maisha kabisaaa! Ililnichukua muda kumfuta kabisa akilini mwangu alipoondoka kwenda nje na wazazi wake.

Huyo dada karejea nchini na jana kanipigia simu tukutane kwenye mgahawa mmoja jijini. Nilipomuuliza namba yangu kaipataje alisema cha muhimu ni kwamba namba yangu anayo, suala la ameipataje halina umuhimu wowote kwa sasa.

Niliamua kuitika wito. Kwa kweli dada huyo kapendeza sana kuliko hata alivyokuwa wakati ule namlilia. Tulikaa nae takriban masaa matatu na kwa kweli tuliongea mambo mengi sana. Kwa ufupi alinieleza kwamba ametambua kwamba nilikuwa na mapenzi ya kweli kwake na sasa yuko tayari kuwa na mimi. Isingekuwa nimeshaoa ningemkubalia mara moja! Pamoja na kumueleza kuwa sasa nina familia alisisitiza kwamba awe hata girl friend wangu.

Huyu dada ana nia gani na mimi kama si kunivunjia ndoa? Ni kweli nilimpenda sana lakini kwa sasa ninae wangu mwandani.

Achana naye! huko nje alikokua ameupiga umalaya umemshinda ndio anaona we wa kuja kula makopo! aisee hebu na wewe mrikie ili ajifunze....hana adabu huyo...Ingekuwa mimi angeipata....hata hiyo kunipigia ningesikia sauti yake ningemzimia simu....
 
Back
Top Bottom