Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
watu wamesafiri kuja kukuomba ugombee....wengine wamekupigia simu........hakika wametumia pesa na rasilimali nyngi tu......sasa wewe lini unakwenda kule.........halafu kama wewe ni mzaliwa wa kule kwa nini hukugombea kule mwaka jana?.......una mikakati gani katika kipindi hiki mpaka kufikia 2015?........
kingine wengi hawana access na internet huko...wewe unatangaza rasmi hapa! je umeshawataarifu hao wananchi wako huko musoma vijijini?
la mwisho badilisha avata yako............
kingine wengi hawana access na internet huko...wewe unatangaza rasmi hapa! je umeshawataarifu hao wananchi wako huko musoma vijijini?
la mwisho badilisha avata yako............