King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Habari JF,
Yule jamaa aliyejitambulisha jana kwamba ni mpemba alidanganya umma,mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa habari na midahalo,yule jamaa mara nyingi huwa anaudhuria kipindi cha mpambano wa hoja kila alhamis ITV na anaongea lafudhi nzuri lakini jana alikua ana-immitate lafudhi ya ki-pemba ili aonekane mpemba,sasa mimi najiuliza huyu kijana nani anayemtumia?
UPDATE:Tar 02 Feb 2012 Jamaa aliongea lugha nzuri tu na sio lafudhi ya kipemba kwenye mdahalo wa kuhusu uhamiaji haramu nini kifanyike:
Yule jamaa aliyejitambulisha jana kwamba ni mpemba alidanganya umma,mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa habari na midahalo,yule jamaa mara nyingi huwa anaudhuria kipindi cha mpambano wa hoja kila alhamis ITV na anaongea lafudhi nzuri lakini jana alikua ana-immitate lafudhi ya ki-pemba ili aonekane mpemba,sasa mimi najiuliza huyu kijana nani anayemtumia?
UPDATE:Tar 02 Feb 2012 Jamaa aliongea lugha nzuri tu na sio lafudhi ya kipemba kwenye mdahalo wa kuhusu uhamiaji haramu nini kifanyike: