Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Duu, hii nimeiona ONLINE:
--Rashid Shamte, CEO, Six Telecoms Company Limited (TZ)
Kwenye ile makala ya DEWJI akicheza ngoma, niliandika wazi kuwa tutawachukia Wahindi na Waarabu bure tu ila wabaya wetu ni hawa Mipingo wenzetu. Junius mtani wangu, utakuwa unakumbuka hayo maneno ingawa ulicheka, hilo halikuwa jambo la kucheka ila kulia.
Nazidi kuamini kuwa Serial Killer, siku zote huuwa watu wa RANGI ZAO.
Uchaguzi ukiisha, wote hao akina January Makamba et el wana kesi ya kujibu au kusaidia upande wa mahakama. Hata wakikwepa mwaka huu, mwaka 2015 tunao na kibaya zaidi watakuta mwenzao ana Kinga ya Urais ila wao watakuwa na hali mbaya sana.
Nyie Wajinga, someni alama za nyakati na mjitakase maana mna bahati ya kujua SAA NA WAKATI.
Waendelee na mipango yao hiyo ya kuchafua nchi, lakini wakae wakijua kuwa iwapo tome moja la damu ya mtanzania itamwagika kwa ajili ya wao kuingia madarakani, hakika, damu hiyo itawalilia toka juu
LOGARITHM umenena kina January watacheka leo na kudharau lakini kesho si mbali wamesha weka doa kimataifa wako monitored kwa sababu wamehusisha nchi ya nje (Finiland) ukizingatia umri wao ni mdogo bado wana safari ndefu waombe tanzania iendelee kama ilivyo endapo kutatokea la kutokea they will be answerable.Kinga ya Urais labda kwa mahakama za Tanzania ikiwa mambo yatabaki kama yalivyo, LAKINI nakuambia kinga chovu kama hizo hazipo kwenye mahakama za kimataifa. MILOSEVIC, KARADZIC, MILUTINOVIC wote WAKIWA MARAIS wa Jamhuri ya Kisoshalist ya YUGOSLAVIA ya zamani WALINYEA na mmojawao anaendelea KUNYEA ndoo kule Uholanzi kwenye mahakama za uhalifu wa kivita. Pia ikumbukwe, kuwa WAZIRI MKUU wa zamani wa RWANDA wakati wa GENOCIDE Mh. JEAN KAMBANDA alinyea ndoo kwenye mahakama ya mauaji ya kimbari ya pale ARUSHA, na kwa sababu alipatikana na hatia na KUFUNGWA MAISHA, ataendelea kunyea ndoo ile hadi mwisho wa maisha yake. CHARLES TAYLOR wa LIBERIA naye kama kawa....
Hao WOTE ( Rashid SHAMTE, Januari MAKAMBA, MTANDAO, NA WALIOMTUMA) wanaojenga uchochezi kwa MANENO na MATENDO yao wajue kitu kimoja cha msingi -MANENO na MATENDO yao yanaacha nyuma yao MTIRIRIKO wa USHAHIDI DHIDI yao, na Jumuiya ya kimataifa kupitia INTERNATIONAL CRIMINAL JUSTICE SYSTEMS( ijapoonekana kuwa kimya) inafuatilia mwenendo wa mambo yalivyo hapa Tanzania, na ENDAPO amani ya Tanzania itatoweka katika uchaguzi wa mwaka huu kwa msingi nilioutaja hapo juu, BASI HAO WOTE WAJUE KWA UHAKIKA KUWA WAMEKWISHA IBIPU SHERIA YA KIMATAIFA na hivyo wamejihakikishia NAMBA ZAO JELA.
Natamani angepata huu ushauri,sijui kama mitaa hii anafika jamani wadau jaribuni kumfikishia kwenye viwanja vyake
Isaac ni kweli mambo yameshafikia huko?Ina maana tensions na chuki za kikabila ziko that high?Wahindi na vibaraka wao lazima watakuwa wanafurahia sana tuMimi ni mmoja wa wachaga waliotishika toka mwanzo juu ya kauli mbalimbali za uchochezi dhidi yetu. Na kama nitapona hili sidhani kama dini nitapona kwani ni mkatoliki wa kikatoliki hasa.
Inaniuma kwani mke wangu ni Msukuma na wiki iliyopita ilibidi nimsafirishe kwenda kwao na watoto hadi uchaguzi upite kwani sijui kama ndugu zangu watamuacha likitokea lolote (Mungu apishe mbali). Ilibidi niondoke Mwanza kabla jirani zao hawajanigundua.
Inaumiza kukosa amani nyumbani,vipi ndugu zangu walioko mikoani hasa huko kwa Wakwere?