Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Hivi Mkurugenzi wa TCRA anasubiri nini kujiuzulu!!!!! Ni aibu kubwa kushindwa kukamata wanaofanya upuuzi huo. Pamoja na propaganda zote hizo watanzania wengi hivi sasa wamepevuka. Sisiem haina chake mwaka huu na Dunia itashangaa.