EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Ni takriban miezi miwili imepita tangu uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga ufanyike na moja ya tukio kubwa ni lile la mtu kumwagiwa tindikali, je mtu huyo anaendeleaje,yuko wapi na kama kuna kesi imefikia wapi na je wahusika wameshajulikana? natanguliza shukrani.