itifaki imezingatiwa tena kaanza na "mh." usimlaumu ulitaka akwepesheeKwani mkuu kulikuwa na sababu gani kuipamba habari hii kwa kusema aliyekuwa mkuu wa mkoa kwann usingesema jina lake tu
You know exactly why...has that hurt you?Kwani mkuu kulikuwa na sababu gani kuipamba habari hii kwa kusema aliyekuwa mkuu wa mkoa kwann usingesema jina lake tu
Duu mkuu umetisha sana kumbe kichwa cha chini kina nguvu zaidi ya cha juuWenzake wanajiandaa na Ramadhani kutubu yy anavunja jungu'' anatembea na mtoto wa mke wake hahahahahaha kweli kichwa cha chin kikisimama cha juu hakifany kaz
Hapana lakini bado utetezi wake utakua na nguvu, maana kiimani hapana kosa hapo. Huyo mama si muumini mzuri.Pemba kuna mahakama ya Kadhi?.
Cheo ni dhamana mkuu, yeye kama mkuu wa mkoa apaswa kuwa mfano bor ktk jamii.Kwani mkuu kulikuwa na sababu gani kuipamba habari hii kwa kusema aliyekuwa mkuu wa mkoa kwann usingesema jina lake tu
Hahahahaaaa kwichi kwichiKwichi kwichi
Kama hakuna mahakama ya Kadhi basi utetezi wake utakuwa ni dhaifu. Na kama atakuwa hana wakili mzuri korrokoroni patamuhusu.Hapana lakini bado utetezi wake utakua na nguvu, maana kiimani hapana kosa hapo. Huyo mama si muumini mzuri.
Watoto wenyewe wa siku hizi maweluwelu, utakuta mtoto ni zaidi ya miaka kumi na tanoAstaghafirullah wanaume wadhaifu jamani! Kha!