Sintopenda kuanzisha mada mpya ila nawapa leo utabiri wangu..
Mwaka 2012 kuna chama kipya kitaundwa na kuna uwezekano kikaitwa CCJ nawaona vijana wengi sana wasomi ambao kwa njjia moja ama nyingine wataondoka chama CCM, CUF, Chadema na hata kuua vyama vingine vidogo kuunda chama hiki. Chama hiki kitatokana na dhana ya kwamba wanaunda Upinzani wa kweli na hakika uchaguzi wa mwaka 2015 kitaleta ushindani mkubwa sana kwa Chadema lakini kama ilivyo kawaida watagawana kura na CCM ataendelea kutawala.
2. Muafaka baina ya CUF na CCM utakomaa zaidi na upinzani utapungua kabisa kiasi kwamba siasa za chuki baina ya bara na Zanzibar zitakwisha, shukran kubwa kwa Shein na Seif kwa sababu Wazanzibar wengi walichokitaka ni kuona uuwiano wa madaraka, hizi siasa nyinginezo ilikuwa kutafuta kiti meza kubwa..
Nawakilisha msije nimaliza kwa matusi lakini kaeni mkao wa sala....
Joseph Selasini alimfuata Kaka yakeMASUMBUKO lamwai akamwamuuliza niende wapi kati ya CCM na CDM,kaka yake akamwambia nenda CDM,akamwambia pia kua CCM siasa zake ni za MAJI YALIYO CHANGANYIKANA NA KINYESI.Joseph Selasini alikuwa nccr mageuzi tena karibu sana na Jemus Mbatia, sijui aligundua nini akatimua mbio akavaa magwanda fasta, sasa hivi ni mbunge, teh teh teh
kweli, hata mimi niliwahi kumshauri hivyo.kafulila aje aombe msamaha cdm ni mpiganaji mzuri.