EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
List ni ndefu mbali ya Hashim Rungwe wengine wanaotajwa kuwamo ni mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali, Kamishna wa NCCR-Mageuzi Mkoa wa Tanga, Mbwana Hassan na wajumbe zaidi ya 20 wa NEC, hii ni kwa mjibu wa mtoa habari aliye karibu na katibu mkuu kuwa kazi hii inatarajiwa kukamilika jumamosi hii.