Jamani mimi nimesikia mbatia akitoa pole kwa chadema kwa ajali! alikuwaq akiongea katika kipindi cha tuongee asubuhi cha Star TV. Wanaojua vizuri watujuze!
Msiba kwa cdm na wapenda maendeleo wote nchini lakini furaha kwa ccm ushindi wao wa kuchakachua hauna tena mpinzani. R I P kamanda wetu tuko nyuma yako
Pia habari hii inapatkana kwenye wall facebook ya Zitto Kabwe, amemuelezea km diwani, mwenyekit mkoa, mjumbe wa CDM taifa na mwasis wa chama mkoa. R.I.P mpiganaji.
Mh Shelembi Phillip Magadula...dah jamani kifo hiki kibaya sana, huyu ni kamanda na Mpiganaji wa ukweli...NIMESIKITIKA SANA SANA ...NIMELIA SANA SANA..NAKULILIA SHELEMBI...MBUNGE WA KWELI WA JIMBO LA SHINYANGA!!!!
UUUUWWWIIIIIIIIIIIIII KWANINI MUNGU SHELEMBI AMEONDOKA SO SOON...AHHHHH SHELEMBI SHELEMBI...
Nalia nanyi familia ya Kamanda wangu shelembi,nalia nanyi watu wa Shinyanga..nalia na wapiganaji wooote TANZANIA imepoteza mtu wa ukweli sawa na chacha wangwe asieogopa dah
Ni kweli ni pigo kubwa si kwa CHADEMA pekee bali kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyaga na vitongoji vyake kwa kukosa kipenzi chao.
Mungu ailaze Roho ya Malehemu mahala pema! AMINA.
RIP kamanda wangu kifo chako ni chachu ya mapambano kwangu naahidi kuendeleza ulipoishia tunajua ulivyoijenga CDM mkoa wa Shinyanga na kanda yote ya ziwa hakika umeacha pengo wananchi wa shinyanga hatutakusahau nakumbuka siku tulipokesha pamoja kuilinda ile kura moja hakika tutakukumbuka milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.