FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,820
- 109,105
Breaking News: PIGO CHADEMA MARA
Katibu wa CHADEMA wa Mara Nyanza Sibitari amerejesha kadi rasmi jioni hii katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na aliyekuwa mbunge wa Musoma Mjini Vedasto Manyinyi.
Sibitari aliyeongozana na vijana wengine 126 na bendera na Kadi za CHADEMA anadai kuwa kajiengua CHADEMA kwa sababu zifuatazo:
- CHADEMA Kuendeshwa kama Taasisi na si chama
- Kushamiri kwa makundi ndani ya Chama hicho
- Mgogoro ulioanza toka nyakati za uteuzi wa viti maalumu hadi Ubunge
Anadai alipotea na sasa karudi nyumbani
More UP DATE to follow
Sasa huyu si aliwawekea dhamana kina Lissu kule, itakuwaje sasa? atafuta dhamana?