wako watu wanamdharau babu kwa dawa anayotoa kwa sababu ya bei kuwa ndogo laiti kama babu angesema kikombe ni sh 50000/
wengi wangemwamini. Maajabu hayo ni kidogo yanakuja mengi zaidi ya hayo.mungu apewe sifa-amen
POLE SANA NDG YANGU MAANA UNAONYESHA DHAHIRI KUWA MIUJIZA YA MUNGU HUIJUI .hiyo unayoishabikia wewe na wenzako wa aina yako ni miujiza ya mungu wa ulimwengu huu.