Musukuma alifanyiwa mtimanyongo na mkuu wa mkoa na viongozi wengine baada ya kuwabana wawekezaji kwenye madini. Huyu jamaa ni shujaa kweli kweli. Ila kama wanasiasa wote walivyo ana kundi kwenye mbio za urais ndani ya CCM 2015 na hilo kundi ndilo liko nyuma yake.
Msukuma ni kiongozi mzuri sana.Ni mjengaji mzuri wa hoja ila nilimwambia siku moja platform ya chama chake ndiyo mufilisi.Madiwani Geita wamezoea Kuhongwa.Mgodi wa GGM ukishirikiana na baadhi ya wafanyabiashara Geita ulimfanyia mtimanyongo kwa kuwa alikuwa upande wa wananchi