Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi nzuri endelea kwa moyo wako na ukombozi wa kweli Tanzania
aliyeenguliwa kwenye uchaguzi wa UBUNGE kwa tiketi ya CHADEMA,katika uchaguzi mdogo wa MBEYA VIJIJINI mwaka jana.Advocate Sambee Shitambala.Sasa awa MWENYEKITI WA CHADEMA WA MKOA WA MBEYA.
na anaenderea kutikisa mkoa hasa Mbeya vijijini,
Ndugu zangu wa Chadema niliwaambia hivi: "Hata muwe na Operation Mijebuka kamwe hamtapata Jimbo la Mbeya Vijijini".
Nyie endeleeni kutwanga maji tu.
Ninawashauri mng'anganie majimbo mliyonayo kwanza maana la Kigoma Kaskazini tutalirudisha CCM mwaka huu.
Kwa Mbeya Vijijini CCM wenyewe wanamwelewa vizuri sana Sambwee, ndo maana walitafuta kila njia ya kumzuia wakati ule, na kweli akaonekana amechemsha.
Lakini kwa sasa patakuwa na patashika kubwa sana, maana yule bwana anauzika hadi vijijini, na amefundisha shule kadha kabla ya kwenda chuo kikuu.
Mimi regardless ya mtu atakayewekwa na CCM,namtabiria ushindi!