Aliponisaidia tu akafa! Nina mkosi?

Pole sn ndugu yetu, ila hilo la kusema ukweli on what happened lipe kipaumbele.
Hukumuua wewe yule, ni ajali tu ilikua imeshaandikwa na Allah.
Naamini when u say it out, utapata releif zaidi.
Jengine ambalo ningependa kukushauru km walivokushauri wengine hapo juu ni vizuri ukawa unaenda mara kwa mara kwa familia ya swahiba wako hao aliowaacha wafanye km ndugu zako wa damu, hope u will be much happier.
All the best mkuu, be brave kaka
 
Pole sn ndugu yetu, ila hilo la kusema ukweli on what happened lipe kipaumbele.
Hukumuua wewe yule, ni ajali tu ilikua imeshaandikwa na Allah.
Naamini when u say it out, utapata releif zaidi.
Jengine ambalo ningependa kukushauru km walivokushauri wengine hapo juu ni vizuri ukawa unaenda mara kwa mara kwa familia ya swahiba wako hao aliowaacha wafanye km ndugu zako wa damu, hope u will be much happier.
All the best mkuu, be brave kaka

Ni kwei kabisa hakumuua yeye na ndio tunako elekea. Jamanii Parapandaaaaaa ....!!!!!!!
 
Rudi Kigogo japo ukasalimie mkuu na kwa kadri utakavyoona hali unaweza kuwaeleza kilichotokea siku ile..watakuelewa.Kama nimekusoma vizuri bado kuna kitu kipo ndani ya moyo wako kinakukwaza kutokana na ajali ile.

Ukifika na kuongea na familia yake utaona kama umetua mzigo

nakubaliana na wewe
 
Hii ilikuwa ni Saikological effect alipokataa zile Hela ulizompa kuna kitu kinatokea kwenye akili!! na huwa Concentration inapungua sana!! Hivyo umakini unakuwa haupo!! ni kama wewe ulivyoona ajali na kuanza kuduwaa kwa muda!! Hata wewe ungeweza kugongwa kwa kuvuka barabara kwa Dharura!! Mungu Amrehemu!!
 
Dah inasikitisha sana, tafuta muda wewe na mkeo mwende mkasalimie familia ya huyo bwana Mungu atakurehemu sana.
 
Pole kwa yote. jitahidi kuwatembelea wale jamaa zake. R.I.P. mwenye ukarimu kwa mwana jf.
 
Mkuu ujumbe au wosia aliokuachia marehemu unatuhusu wanadamu wote kwa ujumla. Ni ujumbe uliotoka kwa Mungu kweli! Bila ujumbe ule na maelezo yake kwako nahisi asingepata maziko yanayomstahili.
 
naamini itakuwa faraja kubwa iwapo wapendwa wa marehemu
watajua kwamba kitendo cha mwisho cha mpendwa wao kilikuwa
cha kutenda wema na kuonyesha upendo kwa mtu asiyemfahamu.

ukiipata familia ya marehemu waeleze wema wa mpendwa wao.
 
Kuna mengi usiyoyajua kuhusu marehemu.
Huna haja ya kujilaumu kwani siku yake ya kuitwa ilifika na pengine alibakisha tendo moja tu jema ili Mungu amchukue!
Inawezekana wewe ndiye uliyemsaidia zaidi, kwani muda wake ulikuwa umefika na alihitaji kutoa sadaka yake ya mwisho kwa kumsaidia mhitaji!
Amini usiamini, lakini maajabu mengi hutokea duniani.
Si ajabu mtu huyo alishakufa kabla ya wewe kufika hapo na alirudishwa briefly kukuokoa kwenye janga.
Tafuta sinema iitwayo 'the eye!' utaelewa situation yako.
unaweza kudhani ni hadithi tu lakini utajifunza mengi!
 
Hii ilikuwa ni Saikological effect alipokataa zile Hela ulizompa kuna kitu kinatokea kwenye akili!! na huwa Concentration inapungua sana!! Hivyo umakini unakuwa haupo!! ni kama wewe ulivyoona ajali na kuanza kuduwaa kwa muda!! Hata wewe ungeweza kugongwa kwa kuvuka barabara kwa Dharura!! Mungu Amrehemu!!

Hii imekaa ki falsafa zaidi! ila ni mtazamo wenye ukweli pia thanks.
 
Kuna mengi usiyoyajua kuhusu marehemu.
Huna haja ya kujilaumu kwani siku yake ya kuitwa ilifika na pengine alibakisha tendo moja tu jema ili Mungu amchukue!
Inawezekana wewe ndiye uliyemsaidia zaidi, kwani muda wake ulikuwa umefika na alihitaji kutoa sadaka yake ya mwisho kwa kumsaidia mhitaji!
Amini usiamini, lakini maajabu mengi hutokea duniani.
Si ajabu mtu huyo alishakufa kabla ya wewe kufika hapo na alirudishwa briefly kukuokoa kwenye janga.
Tafuta sinema iitwayo 'the eye!' utaelewa situation yako.
unaweza kudhani ni hadithi tu lakini utajifunza mengi!

Ntaitafuta mkuu, hii dania ina vitu visivyokuwa na majibu rahisi!
 
Pole sana najua hiyo picha ya tukio hilo litaishi nawe milele.

Ulifanya vizuri kwenda kwenye msiba, ila kwa mie naona kama polisi alikushauri usiseme kitu jitahidi na Mungu anajua why hadi leo hujasema kitu. Kwa mie naona nenda kawaone ila usiongee nini ilikuwa vipi haraka kama unataka sema ongea mbeleni sana ila uwe unahuakika kuwa polisi bado wanajua kilichotokea.

Kwa nini nasema hivi, hii dunia ni ya ajabu na ina watu wa ajabu inaweza kuwa sio immediate family watakusumbua bali ndugu wa karibu wasio na mbele wala nyuma shit happens na kujuta huwa ni mbeleeeeeeee

kwenda kwako kunaweza hata elfu chache kusaidia watoto wake wasome au ushauri wako ukasaidia familia.

Pia yeye kukuambia yote juu yake labda angepatwa na kifo familia yake wasingejua yupo wapi, labda pia kuhisi amepotelea safarini labda alipata ya haraka bila kuweza kuwafahamisha yaani labda wasingeona hata uo mwili wa kuzika na kuhisi labda kafia huko nchi za watu etc yaani anyithing.

I believe tendo kubwa ulilomtendea siku hiyo na atakuwa anafurahia hadi leo ni wewe kujitolea na hilo hilo gari lako kumbeba, kutaafifu familia

Chukulia hili lilikuwa ni jambo kubwa ambalo ulimtendea that day. Ukiwasalimu tujulishe ila kaa kimya for now or forever (wengi wana imani za ushirikina etc na wanaweza kupa matatizo kuzani ulihusika as haswa ile point ya aligeuka kukuaga... utaweza singiziwa mengi sanaaaaa hata ambayo hujawahi jua yamo duniani)

Mungu awe nawe,na ndie atakayekuongoza. Omba.

Hili ndilo nililokuwa nalo mwanzo, na nadhani ushauri wa askari ndivyo ulikuwa anakoelekea....
Lakini kwa ushauri wa waungwana wa humu, nta kwenda... na kuchukua tahadhari zote watu wasinielewe vibaya.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom