Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Nakumbuka kombe la dunia. Sikumbuki ni france or korea & japan! Half time ujerumani walikuwa nyuma ya bao moja... Ricky abdallah maarufu kama Dr ricky! Alimwambia michuzi nadhani! "Ujerumani ni paka mwenye roho saba!" Akamtajia sub zitakazofanyika jamaa wakafanya sub! Ngozi ikapigwa maridadi sana! Toka siku hiyo na respect sana mjerumani