Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
KoploSaidi na wenzake wa JWTZ wa Kambi ya Mwanyanya katika uchaguzi wa Bububu ndiowalio mmiminia risasi za moto mototo wa miaka 14 na kufa shahidi.
Hilililizaweleka hapa kwetu na baada ya kwisha kufanya hivyo basi imekuwa ni tabiana desturi ya Watawala wetu kuwatunukia nishani watu hao na kuwapandisha vyeo.
KatikaUchaguzi wa 2001 26/27 Wazanzibar waliuliwa kinyama na Jeshi la Polisilikishirikiana na vikosi vya Kmkm Pemba , Baada ya Matokeo haya Rais BenjameniMkapa alipanda ndege kwenda Pemba kwa kuwatunukia nishani wauwaji nakuwapandisha vyeo.
Kwavile vuguvugu la joto la mauaji lilikuwa bado halijapowa visiwani Pemba nawauwaji kujulikana na kuwa na hofu, ilibidi wapewe uhamisho wakupelekwa TranferBara,lakini mmoja kati ya hayo aliuliwa Jangombe Zanzibar kwa kuingiziwamwanamke fumanizi na kuwawa.
Kwahio hii imekuwa ni kawaida na tabia ya Viongozi wetu kuwalea wauwaji na kuwapa tunzo, na Jeshi laPolisi hapa kwetu kuna msemo husema wao ni (unteachables) yani wao hawakuswindio ikawa wana jeuri hii.
Kwahio hii ndio inayo wafanya wavuke mipaka na kusahau kuwa Jeshi la Polisi kaziyao ni kulinda raia na mali zao sio kutumika kisiasa na kufanya kazi kwaupendeleo katika jamii.
Kwahiokilichomsibu Koplo Said Abrahamani viongoziwanajuwa jawabu lake na wao ndio wavunjaji Amani na utulivu kwa kulitumiavibaya Jeshi la ulinzi.
Kwahiomara hii Koplo Said kashindwa kupata Medal labda ipelekwe kwa familia yake,alichokifanye yeye kummiminia risasi motto wa miaka 14 kumuuwa kinyama nay eye kupigwamapanga ni haki yake sio mkuki kwa nguruwe tu lakini kwa Jeshi la Polisi uwemchungu.