Alinisaliti, nifanyeje?

M'mwage..life is too short to live miserably
 
Last edited by a moderator:
Kaka una uhakika gani kama walikutana tu kwa maongezi au kuna kitu walifanya?
Halafu nimuda mrefu umepita tangu amefanya hilo tukio ina maana humpenzi ndo maana mpaka leo kinakuuma wewe una kinyonho, mapenzi yanasamehe na kusahau, ameshajaribu kukuambia hana mawasiliano naye tena kwa nini huamini?
Kummwaga siyo tatizo haya ni mambo yanayoweza kuzungumzwa kwa mapana zaidi maana mnataka kuelekea hatua muhimu na kuyatatua.
Yaani umenishangaza sana najua mapenzi yanauma lakini siyo kukaa na kinyongo muda wote huo utakufa kwa kihoro.
Halafu tangu muda huo alivyokwa mbia kwa nini usimmwage tangu hapo kama kweli ulikuwa na principles zako umesubiri mmmekaa mnakaribua kuoana leo ndo roho imezidi kukuuma sana? huoni kama ukimuacha utakuwa na yeye umemuumiza na umempotezea muda.
Mwanaume unatakiwa uwe na msimamo siyo unakufa na tai shingoni.
 
...wakati tupo chuo niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo (options). Tulianza mahusiano mapema tu

...mambo ya u -girlfriend na u Boyfriend shuleni na vyuoni sio guarantee ya kuja kuoana baadae.

...Nilipomuuliza akaniambia ni kwasababu anajua hatoishi naye, kwahiyo haina athari zozote. Sio siri iliniuma sana ila kwakuwa nilikuwa nampenda tuliendelea hivyo mpaka tulivyograduate. Sasa umefika wakati wa kuanza kufikiria ndoa napata shida kweli kama nitaweza kuishi na mwanamke huyu

...hakujua ipo siku ataishi nawe vile vile.

...yeye anasisitiza kuwa ameshaacha kukutana naye toka kipindi kile kutokana na reaction niliyoonyesha.

...hakuwa na uhakika wa msimamo wako mpaka ulipomuonyesha ile reaction.

inawezekana hata wakati anaandika hizo messeji alikuwa kwenye kifua cha huyo mwanamume!

...'mavi ya kale hayanuki!' ...kwani wewe na yule ex -Girlfriend wako mmeyafanya mangapi bana?
 
wakati tupo chuo niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo (options). Tulianza mahusiano mapema tu, ila siku moja tukiwa mwaka wa pili likizo ndefu mimi nikiwa nimeenda nyumbani-mkoani. Mwenzangu kwao ni hapa DSM akawa anaendelea na mahusiano ya kimapenzi na bwana wake wa zamani. Baada ya likizo kwisha siku moja ikawa tunapiga story kawaida ikatokea tu tukaanza kuongea kuhusu wapenzi wetu wa zamani. Sijui ilikuwaje tukaanza kuulizana siku za mwisho kukutana nao. SIKUAMINI PALE GIRLFRIEND WANGU ALIPONIAMBIA KUWA NI MWEZI WA SABA, kumbuka hicho kumbuka ndio tulikuwa likizo na tulikuwa tunawasiliana sana hata kuandikiana meseji za TAKE CARE EEH! Nilipomuuliza akaniambia ni kwasababu anajua hatoishi naye, kwahiyo haina athari zozote. Sio siri iliniuma sana ila kwakuwa nilikuwa nampenda tuliendelea hivyo mpaka tulivyograduate. Sasa umefika wakati wa kuanza kufikiria ndoa napata shida kweli kama nitaweza kuishi na mwanamke huyu kwa kuwa yale maumivu bado yapo moyoni mwangu bado. Ingawa yeye anasisitiza kuwa ameshaacha kukutana naye toka kipindi kile kutokana na reaction niliyoonyesha.

Naombeni mnisaidie
Nifanye nini kwani bado inaniuma sana hasa nikikumbuka wakati mimi niko likizo tulikvyokuwa tunawsiliana PLEASE TAKE CARE MY LOVE kumbe mwenzangu inawezekana hata wakati anaandika hizo messeji alikuwa kwenye kifua cha huyo mwanamume!

Nashndwa kukuelewa ndugu yangu, kwani kulikuwa kuna kitu gani hadi mkafikia kuulizana hivyo? Inaonyesha mlikuwa watoto kiasi kwamba unamuuliza mpenzi wako ni muda wa mwisho kukutana X-BF wake! Na inaonyesha kweli anakupenda maana alikuueleza ukweli na ndo ukakuleta machungu, sasa vip ulitaka akudanganye kuwa ilikuwa miaka 5 iliyopita? Ushauri wangu kama ulianzisha wewe mwenyewe ulilikologa inakupasa ulinywe bint hana kosa alikueleza ukweli!
Jikaze baba kumbuka wanaume tumeumbwa mate....... kuhangaika!
 
wakati tupo chuo niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo (options). Tulianza mahusiano mapema tu, ila siku moja tukiwa mwaka wa pili likizo ndefu mimi nikiwa nimeenda nyumbani-mkoani. Mwenzangu kwao ni hapa DSM akawa anaendelea na mahusiano ya kimapenzi na bwana wake wa zamani. Baada ya likizo kwisha siku moja ikawa tunapiga story kawaida ikatokea tu tukaanza kuongea kuhusu wapenzi wetu wa zamani. Sijui ilikuwaje tukaanza kuulizana siku za mwisho kukutana nao. SIKUAMINI PALE GIRLFRIEND WANGU ALIPONIAMBIA KUWA NI MWEZI WA SABA, kumbuka hicho kumbuka ndio tulikuwa likizo na tulikuwa tunawasiliana sana hata kuandikiana meseji za TAKE CARE EEH! Nilipomuuliza akaniambia ni kwasababu anajua hatoishi naye, kwahiyo haina athari zozote. Sio siri iliniuma sana ila kwakuwa nilikuwa nampenda tuliendelea hivyo mpaka tulivyograduate. Sasa umefika wakati wa kuanza kufikiria ndoa napata shida kweli kama nitaweza kuishi na mwanamke huyu kwa kuwa yale maumivu bado yapo moyoni mwangu bado. Ingawa yeye anasisitiza kuwa ameshaacha kukutana naye toka kipindi kile kutokana na reaction niliyoonyesha.

Naombeni mnisaidie
Nifanye nini kwani bado inaniuma sana hasa nikikumbuka wakati mimi niko likizo tulikvyokuwa tunawsiliana PLEASE TAKE CARE MY LOVE kumbe mwenzangu inawezekana hata wakati anaandika hizo messeji alikuwa kwenye kifua cha huyo mwanamume!

Mdogo wangu! sifa ya mwanamume ni kufanya maamuzi yake mwenyewe.

Wewe inaonyesha sio mvumilivu maana bado unakumbuka kitu ambacho mlisha sameheana hapo nyuma, inaonyesha hata mkiingia ndoani siku mkitofautiana kidogo utamkumbusha hilo. Naamini litamuuma sana akijua huwa unasamehe kinafiki.

Kumbuka wewe pekee ndo unajua umeumia kiasi gani na mkasa huo. Sasa jiulize unaweza kusahau na uanze maisha mapya? maana wanawake hubadilika sana, kumbuka hizo ni foolish age.

Nakushauri umuoe huyo binti maana kila mtu hapa duniani amewahi kufanya ujinga na kama hukumbuki basi ujue ndio unafanya ujinga sasa ...ACHAAA

Kumbuka hii leo ni ngumu sana kuanza kutafuta mtu mpya na muanze mahusiano ya pekupeku maana watu wapima kwa macho siku hizi.

Chukua mzigo wako jikaze, vumilia huo ulikua ni utoto tu na ndio maana alisema ukweli otherwise angekuficha na angeendeleza libeneke mpaka kesho.
 
Nashndwa kukuelewa ndugu yangu, kwani kulikuwa kuna kitu gani hadi mkafikia kuulizana hivyo? Inaonyesha mlikuwa watoto kiasi kwamba unamuuliza mpenzi wako ni muda wa mwisho kukutana X-BF wake! Na inaonyesha kweli anakupenda maana alikuueleza ukweli na ndo ukakuleta machungu, sasa vip ulitaka akudanganye kuwa ilikuwa miaka 5 iliyopita? Ushauri wangu kama ulianzisha wewe mwenyewe ulilikologa inakupasa ulinywe bint hana kosa alikueleza ukweli!
Jikaze baba kumbuka wanaume tumeumbwa mate....... kuhangaika!

sio utoto ndio ulipelekea kuulizana maswali hayo ila ni mapenzi, unajua unapompenda mtu unatamani kumjua zaidi ili ujiridhishe kuwa upo sehemu ya umakini. Kama hangenidanganya ingekuwa heri kwani nani hasiyejua mapenzi kwa kiasi kikubwa ni uongo. Ila nashukuru kwa ushauri wako maridhawa
 
Mdogo wangu! sifa ya mwanamume ni kufanya maamuzi yake mwenyewe.

Wewe inaonyesha sio mvumilivu maana bado unakumbuka kitu ambacho mlisha sameheana hapo nyuma, inaonyesha hata mkiingia ndoani siku mkitofautiana kidogo utamkumbusha hilo. Naamini litamuuma sana akijua huwa unasamehe kinafiki.

Kumbuka wewe pekee ndo unajua umeumia kiasi gani na mkasa huo. Sasa jiulize unaweza kusahau na uanze maisha mapya? maana wanawake hubadilika sana, kumbuka hizo ni foolish age.

Nakushauri umuoe huyo binti maana kila mtu hapa duniani amewahi kufanya ujinga na kama hukumbuki basi ujue ndio unafanya ujinga sasa ...ACHAAA

Kumbuka hii leo ni ngumu sana kuanza kutafuta mtu mpya na muanze mahusiano ya pekupeku maana watu wapima kwa macho siku hizi.

Chukua mzigo wako jikaze, vumilia huo ulikua ni utoto tu na ndio maana alisema ukweli otherwise angekuficha na angeendeleza libeneke mpaka kesho.

Nadhani nimekuwa mvumilivu kuliko unavyofikiri, na pia usema age ya 25 to 26 ni foolish age kwangu sio kweli. Halafu kumbuka huyu binti wakati tunakutana kimapenzi tulikuwa tunatumia condoms. Lakini kuna siku alikuja akaniambia anahisi ana mimba kwakuwa haoni siku zake. Mimi nikamuuliza uko serious au unatania, akaniambia niko serious mpaka alienda hospitali kupima. Ebu pima hapo na baada ya kama wiki mbili ndio akaja kunieleza kama nilivyoandika kwenye post ya kwanza. Jamani hivi hii kweli ni sahihi? Ila nashukuru kwa ushauri wako
 
Nadhani nimekuwa mvumilivu kuliko unavyofikiri, na pia usema age ya 25 to 26 ni foolish age kwangu sio kweli. Halafu kumbuka huyu binti wakati tunakutana kimapenzi tulikuwa tunatumia condoms. Lakini kuna siku alikuja akaniambia anahisi ana mimba kwakuwa haoni siku zake.

Wakati niko mdogo nilishudia masela/mateja wakienda kum-baka mdada mgonjwa wa akili, lakini kabla ya kuanza kum-baka walimuogesha kwa sabuni nyingi tu then wakamuanlika juani kiasi ili akauke maji na baadaye wakajisevia.

Na wewe mchukue mchumba wako makilshe chini muongee vizuri mkumbushe hiyo mikasa yote na uone kama ataahidi kubadilika umuoe.

Nimegundua unampenda huyo dada, sasa tumia muda wako kumjenga ili umpende zaidi.

Hao wanawake wote wenye tabia nzuri wameandaliwa, japo wapo waliozaliwa na vipaji vyao/tabia zao nzuri
 
Ndugu Sipo,
Kama hili linapokusumbua moyoni sasa, huko uendako litakuwa chungu zaidi, hasa utakapokuja kubaini kuwa anaendelea nae au atakapojipatia mwingine. Kumbuka mlamba asali halambi mara moja. Mimi nadhani hapo ulipofikia kuja kuomba ushauri katika uwanja huu, basi upo mbali. Chukua hatua zitakazokufanya ufurahie mapenzi kwa muda ulionao. Ila yakupasa pia kujua kuwa kumwacha huyo haikufanyi kumpata ambae atakuwa mzuri au mwaminifu kuliko huyo! Viumbe hawa (wanaume na wanawake) hawaaminiki.
 
Ndugu Sipo,
Kama hili linapokusumbua moyoni sasa, huko uendako litakuwa chungu zaidi, hasa utakapokuja kubaini kuwa anaendelea nae au atakapojipatia mwingine. Kumbuka mlamba asali halambi mara moja. Mimi nadhani hapo ulipofikia kuja kuomba ushauri katika uwanja huu, basi upo mbali. Chukua hatua zitakazokufanya ufurahie mapenzi kwa muda ulionao. Ila yakupasa pia kujua kuwa kumwacha huyo haikufanyi kumpata ambae atakuwa mzuri au mwaminifu kuliko huyo! Viumbe hawa (wanaume na wanawake) hawaaminiki.

Nafahamu fika kuwa kumwacha huyu na kumtafuta mwingine ndio solution. Na ndio maana nimekuja hapa ukumbini mwetu. Ila ninachotaka nikufikia uamuzi ulio sahihi na husiokuwa na mazonge na hii ni pamoja na kupata ushauri wenu wadau. Nashukuru sana kwa ushauri Nono. Ila ingekuwa ni wewe hungefanyaje?
 
Wakati niko mdogo nilishudia masela/mateja wakienda kum-baka mdada mgonjwa wa akili, lakini kabla ya kuanza kum-baka walimuogesha kwa sabuni nyingi tu then wakamuanlika juani kiasi ili akauke maji na baadaye wakajisevia.

Na wewe mchukue mchumba wako makilshe chini muongee vizuri mkumbushe hiyo mikasa yote na uone kama ataahidi kubadilika umuoe.

Nimegundua unampenda huyo dada, sasa tumia muda wako kumjenga ili umpende zaidi.

Hao wanawake wote wenye tabia nzuri wameandaliwa, japo wapo waliozaliwa na vipaji vyao/tabia zao nzuri

Ni kweli nampenda lakini naogopa kumpenda mtu ambaye amenisaliti na kuniumiza kwa sababu anaweza kuwa kikwazo maishani mwangu. Unajua mapenzi ni furaha na sio karaha. Sasa kama mtu alishindwa kuniheshimu hapo hata kama tunapendana vipi si itkuwa kudanganyana. Halafu mimi nafikiri watu wengi wanatembea na MA-EX wao lakini sio mpaka the present one ajue kuwa umetoka nje. IT PAINS JAMANI! ACHA! nashukuru kwa ushauri once again
 
utoto ulikuwa unakusumbua, na kama huna uhakika na hiyo mimba kama ni ya kwako, muache!!! Kumbuka kwa sasa hujafungwa na kitu chochote.
 
halua haina kipolo!!
kwa nini upashe kipolo wakati vya kupikwa vipo?

PIGA CHINI!
 
utoto ulikuwa unakusumbua, na kama huna uhakika na hiyo mimba kama ni ya kwako, muache!!! Kumbuka kwa sasa hujafungwa na kitu chochote.

Jamani sijui kwanini hapa utoto unawekwa mbele, mimi namini mtu wa age ya 25 na 26 yuko very matured enough katika kufanya maamuzi sahihi. Na mimi nakiju nilichokuwa nakifanya kwa asilimia nyingi tu. By the way thanks for your advise
 
ni kweli nampenda lakini naogopa kumpenda mtu ambaye amenisaliti na kuniumiza kwa sababu anaweza kuwa kikwazo maishani mwangu. Unajua mapenzi ni furaha na sio karaha. Sasa kama mtu alishindwa kuniheshimu hapo hata kama tunapendana vipi si itkuwa kudanganyana. Halafu mimi nafikiri watu wengi wanatembea na ma-ex wao lakini sio mpaka the present one ajue kuwa umetoka nje. It pains jamani! Acha! Nashukuru kwa ushauri once again


poleeeeeeee weeeeeeee
"penzi kiti cha basi ukishashuka anapanda mwingine" by mr paul.
Itakuuma zaidi ukimbwaga halafu siku nyingine ukaona ana mtu mwingine.
By the way yeye anakupenda kihivyo kama wewe? If yes then zifanyie kazi tofauti zenu halafu endeleeni na hatua nyingine. It takes a lot of time and energy to invest in a relationship so kaka fikria mara mbili mbili kuanzisha mahusiano mapya.

Ni hayo tu-wishing you the best of luck
 
Dar, pole sana. Uwe na msimamo wewe, wa kiume. Mtu anaye ku cheat kirahisi hivyo bado wa mlilia? Afanye vyote asamehewe sio tabia hizo. Anaonekana ni bingwa wa kudanganya huyo. Una hakika ilikuwa kwa huyo tu? SMS nzuri huku anakutenda? Tabia haina dawa. Uzuri wa mtu tabia bwana. Kwani hamna walio wazuru zaidi yake kwa tabia na urembo? Mnacommitment gani?

Hebu pata uhakika zaidi wa tabia zake ktk mahusiano. Chunguza kwa kina uaminifu wake. Lakini ana dalili mbovu.

Mademu wengi wa vyuo huwa na mabuzi kama ifuatavyo: Nadhani unajua

1. Kipanga wake -Huyu ni anayempa mapenzi kwa sababu ya uwezo wa shule/akili za kidume.
2. Handsome - Huyu ni anayempenda kwa dhati kimapenzi kwa sababu ya maumbile yake, shughuli ktk game, unadhifu na sura nzuri n.k. Anaweza kuolewa na mtu huyu. Yuko tayari kutoka naye na kuonyesha wenziwe/ndugu zake.
3. BUZI/ATM- Hawa wanaweza kuwa zaidi ya mmoja. Mara nyingi ni waajiriwa. Hata waume za watu. Ndio wafadhili kipesa na vitu; TV, friji, simu, gari, bajaji n.k.
4. Mwalimu mnoko- mambo ya maksi na uhakika wa kufaulu.
5. Wa zamani kabla hajajoin chuo au wa mtaani kwao/alikotoka- Huyu ni kwa sababu ya historia tu. Anaweza kuachwa any time.

Au nimekosea jamani? Haya kazi kwako. Ila cha muhimu devise ways and mechanism kumpata ambaye japo afadhali ukicheche wake.
 
Nadhani nimekuwa mvumilivu kuliko unavyofikiri, na pia usema age ya 25 to 26 ni foolish age kwangu sio kweli. Halafu kumbuka huyu binti wakati tunakutana kimapenzi tulikuwa tunatumia condoms. Lakini kuna siku alikuja akaniambia anahisi ana mimba kwakuwa haoni siku zake. Mimi nikamuuliza uko serious au unatania, akaniambia niko serious mpaka alienda hospitali kupima. Ebu pima hapo na baada ya kama wiki mbili ndio akaja kunieleza kama nilivyoandika kwenye post ya kwanza. Jamani hivi hii kweli ni sahihi? Ila nashukuru kwa ushauri wako



unasex nae na condom cku zote. leo anakuja kukwambia ana mimba na alishakutana na huyo ex wake hapo kati ukiwa haupo, kuna cku condom ilipasuka?....kuna walakini hapo bro!
 
wakati tupo chuo niliingia kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye tulikuwa tunashare baadhi ya masomo (options). Tulianza mahusiano mapema tu, ila siku moja tukiwa mwaka wa pili likizo ndefu mimi nikiwa nimeenda nyumbani-mkoani. Mwenzangu kwao ni hapa DSM akawa anaendelea na mahusiano ya kimapenzi na bwana wake wa zamani. Baada ya likizo kwisha siku moja ikawa tunapiga story kawaida ikatokea tu tukaanza kuongea kuhusu wapenzi wetu wa zamani. Sijui ilikuwaje tukaanza kuulizana siku za mwisho kukutana nao. SIKUAMINI PALE GIRLFRIEND WANGU ALIPONIAMBIA KUWA NI MWEZI WA SABA, kumbuka hicho kumbuka ndio tulikuwa likizo na tulikuwa tunawasiliana sana hata kuandikiana meseji za TAKE CARE EEH! Nilipomuuliza akaniambia ni kwasababu anajua hatoishi naye, kwahiyo haina athari zozote. Sio siri iliniuma sana ila kwakuwa nilikuwa nampenda tuliendelea hivyo mpaka tulivyograduate. Sasa umefika wakati wa kuanza kufikiria ndoa napata shida kweli kama nitaweza kuishi na mwanamke huyu kwa kuwa yale maumivu bado yapo moyoni mwangu bado. Ingawa yeye anasisitiza kuwa ameshaacha kukutana naye toka kipindi kile kutokana na reaction niliyoonyesha.

Naombeni mnisaidie
Nifanye nini kwani bado inaniuma sana hasa nikikumbuka wakati mimi niko likizo tulikvyokuwa tunawsiliana PLEASE TAKE CARE MY LOVE kumbe mwenzangu inawezekana hata wakati anaandika hizo messeji alikuwa kwenye kifua cha huyo mwanamume!
Mnh!! Mara ya kwanza alikuambia kwamba alikutana nae ingawaje mlishakuwa tayari ni wapenzi!!! Kwa jinsi ilivyo, si ajabu ni yeye ambae alianzisha hayo maongezi kuhusu ex-friends!!! For sure, lipo jambo ambalo lilimdatisha ambalo alitamani sana ulijue, otherwise asingekuambia kwamba alikutana nae wakati tayari mlishakuwa wapenzi!! Vuta kumbukumbu unapoenda kuangalia matokeo (especially when u are just a kid, may be o-level or primary) halafu ukakuta umefaulu!! baada ya kuona matokeo hayo, utatamani upae angani ili ukamwambie kwamba umefaulu!! Umedata na matokeo mazuri!!!Hofu yangu ni kwamba, shemeji yetu alidatishwa ile mbaya kiasi kwamba ilikuwa ngumu kuhifadhi siri hii!!! Mhemuko ukiwa mkubwa, akili ya kibinadamu hugoma kufanya kazi!! Pole sana, am afraid ataendelea kukusaliti kwa sasa atakuwa makini na kauli zake kv ulikuwa aggressive alipokupa info!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom