Ha ha haaaaa!!Umeua mkuu,una jazba kama na wewe yameshawahi kukukuta vile!!Kwa kweli JF ni kila kitu!!Ha haaaaaaa!!Babu sikiliza, mkamue alafu mpige chini, ili na yeye ajue machungu yanafananaje,awa wanawake pambafu sana.
piga chini mwana kama kweli una she mwingine unamkubali...huyo hana lolote anatafuta maisha ya mteremko hapo chuo, kama vipi mkazie tu....madem bwana ukiwa hauko poa wanambwembwe kinoma, ukiwa safi tu wanakuwa wapole kama kobe...piga chini
teteeeh bosi wangu ushauri achaguliwi mtu mwaga tu mawazo yako kuendana na inshu yenyeweKwa hiyo unataka tukushauri ummege ama?
ahahaaa haya mkuu ila sup itakuja endapo tu atafeli kihalali sitaki hili liingiliane na masomo yake ingawaje kutoswa kunauma bora kibutigonga sup wenga vizngit apate na kucarry juu..! Umeshka rungu unaogopa kutumia na akikupa kimpwapizi tu anakupa wewe carry ya maisha au umesahau kuwa ililala mbele kupima.
Mkuu sina muda wa kutunga hadithi its real thanks kwa ushauri wako naona ni sahihi zaidi coz kujilipua na ujana huu noumerHuyo hana lolote la maana
Ameona alishapoteza anataka akuharibie
Lakini hata bila kuuliza humu, wewe si ulishaona kwamba sio mwaminifu???????????????
Kama unataka kujilipua sawa
Na usisahau ane ua kwa upanga atakufa kwa upanga , wewe unae wa kwako unataka umpeleke wapi?????
Labda kama hii ni Hadithi na haina ukweli
Mkuu unapoteza muda tu huyo dada atakutegea ujauzito halafu itakuwa ndo gear ya kumuoa ameshaona ramani yako imesoma sasa anataka kurudi maana anajua maisha yatanyooka ugali wa watoto utapatikana bila shida na hata usafiri atapata hata kama sio sasa ila baadae,kama aliweza kukusaliti mwanzo usifikiri amebadilika hiyo ni tabia na usifikiri utaweza kuibadilisha labda kwa neema ya Mungu,achana nae kabisa tena awe mbali nawe utabeba magonjwa ambayo hutaamini ulimwengu huu kaka na magonjwa haya wala usiuchezee kama uliweza kuwa mwaminifu na mvumilivu kipindi chote endelea na msimamo wako uko mpango wa Mungu mzuri mbele yakomara nyingi jambo fulani linapotokea jiulize kwanini limetokea maana Mungu hutuepusha na mambo ambayo si mpango wake bila sisi kujua lakini kwa akili za kibinadamu ukiona aerudi unasema kajileta kumbe ibilisi unakuwinda upate magonjwa.
piga chini mwana kama kweli una she mwingine unamkubali...huyo hana lolote anatafuta maisha ya mteremko hapo chuo, kama vipi mkazie tu....madem bwana ukiwa hauko poa wanambwembwe kinoma, ukiwa safi tu wanakuwa wapole kama kobe...piga chini
duh........
Ya ngoswe namwachia ngoswe
ila mkumbuke mbayuwayu wa karimjee