mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,623
Huyo hakupendi ni pesa tu ndo anakutakia. Sasa kwa nini unaenda kwake? Unampa pesa ya mtaji n.k. Mmmhh
Ukiendelea nae lazima atamwambia mkeo yeye yupo tangu kabla yake na hapo utakoma. Kweli weye softi yaani unamlilia mwanamke na u weak wako ndo maana anakuchezea hadi leo.
Weka pesa zako kalee familia na usimpelekee mkeo magonjwa.
Utajuta usipoacha, nitaku noti jina lako humu nikisubiria kuona unasema nini mbeleni.
Ukiendelea nae lazima atamwambia mkeo yeye yupo tangu kabla yake na hapo utakoma. Kweli weye softi yaani unamlilia mwanamke na u weak wako ndo maana anakuchezea hadi leo.
Weka pesa zako kalee familia na usimpelekee mkeo magonjwa.
Utajuta usipoacha, nitaku noti jina lako humu nikisubiria kuona unasema nini mbeleni.