Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Yaani ipo njemba moja ambayo ilimganda binti wa watu hadi akamegewa...........baada ya kuonjeshwa asali jamaa sasa adai hakufurahika na aona bora ajinasue..........wakati mwenzie afikiri sasa kapata kivuno............cha milele...........
Ni kizaazaa cha aina yake.................tatizo jamaa hafafanui ni kwa vipi hakufurahika na mechi ile ya nadra sana na huku akizingatia aliitafuta kwa zaidi ya miaka mitatu.......iliyopita...............
Ni kizaazaa cha aina yake.................tatizo jamaa hafafanui ni kwa vipi hakufurahika na mechi ile ya nadra sana na huku akizingatia aliitafuta kwa zaidi ya miaka mitatu.......iliyopita...............