Mi sioni tatizo pesa alizitumia kwa jinsi alivyopenda sasa zimeisha maisha yanatakiwa kuendelea. Mlitaka afanya nini?? Ukipata pesa lazima zitumike uwe umejenga nyumba, umehonga, umenunua gari au umezitumia kwenye ulevi vyovyote vile. Kila mtu ana jinsi yake ya kutumia pesa.Sioni sababu ya kusikitika unadhani hayo matanuzi angeyafanya lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.