sam2000
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 523
- 326
Dah kweli watanzania afya zetu ziko rehani sana; kumbe vifo vingi tunakamatana uchawi kumbe ni vya kitaalamu tu na vinatibika!
We acha tu mkuu, yani kumbe tumezika ndugu zetu kibao huku jamaa wakiwa bado na uhai! 70 minutes!! Huku hata dakika tano nyingi tayari wamesogeza mortuary!