YanguHaki
Senior Member
- Oct 11, 2010
- 129
- 9
Wadau
Ni muda mrefu sasa kamanda wetu hatujamsikia, mara ya mwishomm kumuona ilikuwa siku ya mdahalo alipomnyosha Mnyaa star tv, km kuna mtu ana taarifa za wapi yupo kamanda wetu atujulisha.
Jamani mbona yupo Singida! Ana kesi ya kupinga ushindi wake katika uchaguzi uliopita!