Aliko mgombea mwenza wa Dr Slaa 2010

katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi lukuki! huyu bwana yuko wapi asa hivi mbona hasikiki? na mbona kwenye shughuli mbalimbali za chama haoenekani?? unajua laiti Slaa ,yule mgombea mwenza wake angeshida angeingia kwenye kumbukumbu za dunia" a standard seven leaver being the vice president" kama sikosekei mtu mwingine mwenye elimu ya msingi ambaye aliweza kushika nafasi za juu za nchi katika ukanda wetu huu ni Idd Amin

Wewe acha ujinga wako hapa JF.. Kama hujui vitu unyamaze tuu kuliko majungu kutwa nzima... Jacob Zuma ameishia standard 3 with no any further formal education lakini anaongoza nchi kama South Africa... hebu fuatilia vitu badala ya kutuletea uongo wako hapa

Pamoja sio chuki ni kuelezana ukweli tuu
Mjinga: ni mtu asiejua kitu tuu sio tusi!!!!
 
Hivi Karume alike na Elimu gain? Nyerere alijua Hilo na chadema hivohivo
 
Unafahamu elimu ya Jacob Zuma lakini? Ndio kiongozi pekee kwa ukanda huu wa kusini mwa Sahara ambaye hajawahi kuuhudhuria acha kusoma darasa lolote kwa maana ya formal schooling.
katika uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010 kulikuwa na kioja kimoja ambako mgombea mwenza wa Dr Slaa ambaye alikuwa na elimu ya darasa la saba hii ni ajabu sana kwa chama chenye kujivunia wasomi lukuki! huyu bwana yuko wapi asa hivi mbona hasikiki? na mbona kwenye shughuli mbalimbali za chama haoenekani?? unajua laiti Slaa ,yule mgombea mwenza wake angeshida angeingia kwenye kumbukumbu za dunia" a standard seven leaver being the vice president" kama sikosekei mtu mwingine mwenye elimu ya msingi ambaye aliweza kushika nafasi za juu za nchi katika ukanda wetu huu ni Idd Amin
 
Si haki na ni udhalishaji mkubwa unaofanya! Amekosa nini kutumia haki yake? Na huo wingi wa wasomi ulioko Tanzania umesaidia nini? Bado ni taifa masikini mbali ya kuwa na rasilimali. Kila msomi anakimbia elimu yake na kwenda kuuza maneno Bungeni . Hivyo kutukanana na kulumbana kwenye siasa hizi za Tanzania kunataka Digirii? Sifikiri kama elimu inahitajika ili ukae kenye kiriri na kuwadanganya watu maisha bora na huku umasikini ukizidi au kukaa kwenye kiriri na kuwafanya waliokata tamaa na maisha kupambana na dola! Infact sioni tofauti kati ya waliosoma na wasiosoma kwenye siasa wote ni waongo na wasio na soni katika kupata maslahi yao.

ofcourse huna hoja kuonyesha kuwa maisha magumu kuliko kipindi kilichopita, kumbuka nyumba sasa dar zimefika pugu na kibamba zimejaa. Magar folen haisemeki kwanini unafikir. Hali zimeboreka. Nyie mlitaka dr awaletee nini?
 
Si wote wlio soma ambao wameelimika. Ni bora huyu mkweli kuliko walio nunua vyeti. Uongozi ni pamoja na kipaji!
 
Back
Top Bottom