Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Haki yake ya kikatiba kuwa mgombea mwenza darasa la saba sio tatizo, Muheshimiwa Said Mzee Said, nadhani saizi kapumzika mambo ya siasa, huwa nakumbuka siku Chadema wanarudisha fomu za urais Mgombea Mwenza Said Mzee Said, alikuwa amevaa shati la rangi ya CUF nikashutuka ilikuwa August 2010 hiyo picha ipo humu JF, Invisible anaweza kutusaidia tumuone Muheshimiwa Said Mzee Said