Aliesoma na dk ndalichako wa necta ajitokeze, Ninawasiwasi na phd hii alivyioipata

Shein PhD yake kaipatia chuo gani, nchi gani, na mwaka gani?
Nkwingwa....Jamaa kapiga shule ya ukweli aisee...

CURRICULUM VITAE


Name: Dr. ALI MOHAMMED SHEIN
Born 13/03/1948, Chokocho, Pemba, Zanzibar
Married with children


Education:
1956 – 1964 : Primary education at Lumumba College, Zanzibar. GCE “O” Level
1969 – 1970 : Preparatory Faculty, Voronezh State University, USSR; “A” Level
High Education
1970 – 1975 Undergraduate Course at Odessa State University, USSR
1984 – 1988 M. Sc. in Medical Biochemistry at the Medical School University of
Newcastle Upontyne England, U.K.
Doctor of Philosophy (Ph.D) inClinical Biochemistry and Metabolic Medicine,
specializing in “Inborn Errors of Metabolism”.
Others

1981 : Blood Transfusion Services and Operation of Blood Bank, Stockholm, Sweden
1994 : A course in Management and Situation Leadership, Dar es Salaam
1995 : Planning for HIV/AIDS in Developing Countries; University of East Anglia,
Norwich, U.K.

 
Kwa nini unahoji ubora wa Phd yake? Kwa maoni yangu position aliyonayo ya kuongoza baraza la mitihani huhitaji Phd. Kwa nini usihoji qualification zile zinazohusiana na kazi yake?
 
Kwa kawaida watanzania huwa tunaangalia matokeo badala ya chanzo,anayefuta matokeo sio Ndalichako,jopo la usahihishaji ndio linalopendekeza kufutwa kwa matokeo baada ya kubaini udanganyifu.NECTA kazi yao ni kujiridhisha na mapendekezo yaliyotolewa kama ni kweli,sasa iwapo ni kweli watoto majibu yao yanafanana necta hawana jinsi zaidi ya kuyafuta.Taratibu za mitihani zipo wazi,na tunaposema kwa nini mmoja nae asifutiwe hatuna hoja kwani ufutaji unafanyika baada ya uchunguzi hivyo sio lazima kila mtahiniwa afutiwe kama hakushiriki kwenye udanganyifu je
 
Yalikuwa yanasikitisha na yalijaa vituko, utovu wa nidhani na ukosefu wa maadili ndio maana yalichambuliwa kwa kina
 
Mkuu kwa taarifa yako Dr Ndalichako ndiye mtaalamu pekee wa mambo ya Measurement and evaluation hapa nchini. Ndiye pekee mwenye PhD iliyospecialize kwenye mambo hayo ya mitihani. Sina wasiwasi wala sijawahi kupata wasiwasi juu ya elimu ya Ndalichako kwa kuwa namjua kwamba ni mmoja ya wanawake wenye uwezo wa juu sana. Na PhD yake si ya nusunusu kama nyingi mnazozijua.
Kuhusu kufutiwa matokeo wanafunzi 50 wa darasa moja halafu mmoja anabaki, inaweza kutokea kwamba huyu mmoja alikuwa ni mlokole,alikataa kupokea majibu kutoka kwa walimu wake.
Jambo zuri ni kwamba Dr. Ndalichako amekuwa akitoa ushahidi kila mara anapohitajika kufanya hivyo, kupitia vyombo vya habari na mahali pengine juu ya ukweli wa matokeo hayo. Watu wa Zanzibar mmezoea kuiba mitihani ndiyo maana matokeo ya mwaka huu yamewachanganya sana.

Naunga mkono 100%
Hata ufundishaji wake mimi niliukubali!!! Anakijua alichokuwa anapaswa kuwafundisha wanafunzi wake!! Hivyo hata baraza la mtihani anajua anachokifanya na kukisimamia.
 
Ana MA & Ph.D. ya University of Alberta, Canada. Ila cha msingi ni kwamba uendeshaji wa baraza si lazima mtu awe na PhD. Not everyone is born with leadership skills .....
 
mwanzisha thread ana level gani ya elimu? kuna mtu anamfahamu/kasoma naye?
 
Back
Top Bottom